Wanabodi,
Mhe. Samia alifanya ziara huko Zanzibar kwenye eneo la Kizimkazi mahali pa asili yake. Cha ajabu (sijui labda uelewa wa wengine sio ajabu) miongoni mwa viongozi wakuu watatu wa Zanzibar yaani Rais, Makamu 1 na Makamo 2 sikumuona hata mmoja hapo.
Au kwa vile ni kijijini kwake, kwa hiyo? Hapana vyombo vya habari vilitoa coverage ya kutosha kwa hiyo nadhani lilikuwa tukio la kitaifa.
Hii imekaaje?
Mhe. Samia alifanya ziara huko Zanzibar kwenye eneo la Kizimkazi mahali pa asili yake. Cha ajabu (sijui labda uelewa wa wengine sio ajabu) miongoni mwa viongozi wakuu watatu wa Zanzibar yaani Rais, Makamu 1 na Makamo 2 sikumuona hata mmoja hapo.
Au kwa vile ni kijijini kwake, kwa hiyo? Hapana vyombo vya habari vilitoa coverage ya kutosha kwa hiyo nadhani lilikuwa tukio la kitaifa.
Hii imekaaje?