peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ninaomba aliyemuelewa Kipanya tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wateule wake mwenyewe ndiyo wanamhujumuMama anajitahidi kujenga nchi ila wafanya biashara wanamuhujumu vibaya sana.
Let’s have a sharp mind through these three guys..Wacha nipunguze sauti ni NAPE,JANUARI & NCHEMBA wakiongozwa na mstaafu wa awamu ya nne JMK anayepinga aweke wazi kuwa sio hao na ikiwa anaowakutuambia ni nani na nani aseme!!Huyo mtoboaji ni nani?.
Sahihi mama ana hujumiwa na wafanyabiashara, huyu mwenye begi la Ice cream kama wale vijana wa bakhresa ni kielelezo cha wafanyabiasharaMama anajitahidi kujenga nchi ila wafanya biashara wanamuhujumu vibaya sana.
Mama anajitahidi kujenga nchi ila wafanya biashara wanamuhujumu vibaya sana.
Unaogopa kujitaja ccm wenyewe ndio mnaomzunguka?Mama anajitahidi kujenga nchi ila wafanya biashara wanamuhujumu vibaya sana.
Mpunguze JMK maana ni buzi lake hawezi muhujumu..Let’s have a sharp mind through these three guys..Wacha nipunguze sauti ni NAPE,JANUARI & NCHEMBA wakiongozwa na mstaafu wa awamu ya nne JMK anayepinga aweke wazi kuwa sio hao na ikiwa anaowakutuambia ni nani na nani aseme!!
Kivipi hao uliowataja wanaihujumu nchi?Let’s have a sharp mind through these three guys..Wacha nipunguze sauti ni NAPE,JANUARI & NCHEMBA wakiongozwa na mstaafu wa awamu ya nne JMK anayepinga aweke wazi kuwa sio hao na ikiwa anaowakutuambia ni nani na nani aseme!!