Sijaelewa katuni hii ya Masoud Kipanya. Tusaidiane tafadhali

Wahuni Wana Nguvu Hawaogopi Mtu Wanatoboa Pipa Kweupe Hivyo Atamaliza Soli Halijai
 
Mama anakopa pesa na kuileta katika account ila kuna vijana wanaikinga na kuichota kimagendo
 
Mama anatoka kuhemea pesa nje, akizileta watoto tundu wanazidokoa
Dr Lalama eti naye anajua kuelezea kila kitu !!!!jamani hii type ya hawa ndugu zetu ndiyo chanzo cha umasikini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…