LGE2024 Sijaenda kupiga kura baada ya kukumbuka faulu za uchaguzi wa 2020

LGE2024 Sijaenda kupiga kura baada ya kukumbuka faulu za uchaguzi wa 2020

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Nakumbuka mwaka 2020 nilipoenda kupiga kura nilishangaa yafuatayo.

1. Mpinzani niliyempigia kura hakupata kura hata moja.

2. Baada ya siku kama nne hivi nilionana na rafiki yangu ambaye naye alikua wakala kwenye moja ya vituo (sio nilichopigiankura) alichoniambia ni kuwa kwanza walikula kiapo kwamba watafanya lolote hata kwa kulazimishwa/kinyume cha sheria.

3. Alisema waliambiwa kura yoyote ya mpinzani ichanwe/iharibiwe.

4. Baada ya kupiga kura watendaji kata/kijiji waliingiza kura nyingine ambazo hazikupigwa na wananchi na zote zikapigwa kwa ccm na waisimamizi walitakiwa wahakikishe kura hizi zinaingia (refer kiapo walichokula).

5. Ilitengenezwa vurugu ambayo polisi waliamuru mawakala wote watoke nje, baada ya mawakala kutolewa nje ndio kura chafu zilipenyezwa ndani ya kituo na kuchanganywa na kura za wananchi.

Kwa kweli hiyo siku moyo uliniuma sana nika conclude Tanzania kupiga kura ni kupoteza muda. NA HATA LEO SIJAENDA KUPIGA KURA.
 
Nakumbuka mwaka 2020 nilipoenda kupiga kura nilishangaa yafuatayo.

1. Mpinzani niliyempigia kura hakupata kura hata moja.

2. Baada ya siku kama nne hivi nilionana na rafiki yangu ambaye naye alikua wakala kwenye moja ya vituo (sio nilichopigiankura) alichoniambia ni kuwa kwanza walikula kiapo kwamba watafanya lolote hata kwa kulazimishwa/kinyume cha sheria.

3. Alisema waliambiwa kura yoyote ya mpinzani ichanwe/iharibiwe.

4. Baada ya kupiga kura watendaji kata/kijiji waliingiza kura nyingine ambazo hazikupigwa na wananchi na zote zikapigwa kwa ccm na waisimamizi walitakiwa wahakikishe kura hizi zinaingia (refer kiapo walichokula).

5. Ilitengenezwa vurugu ambayo polisi waliamuru mawakala wote watoke nje, baada ya mawakala kutolewa nje ndio kura chafu zilipenyezwa ndani ya kituo na kuchanganywa na kura za wananchi.

Kwa kweli hiyo siku moyo uliniuma sana nika conclude Tanzania kupiga kura ni kupoteza muda. NA HATA LEO SIJAENDA KUPIGA KURA.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Uamuzi wako ni sahihi wa kutoshiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi.
 
Back
Top Bottom