CHARLES2016
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 376
- 435
Si bora hata CCM inawajali wapiga kura wake kwa kuwapa usafiri hata Kama ni malori kuliko Chadema.Hakuna sababu.
Kwa maendeleo waliyofanya kwa miaka mitano hakukuwa na sababu ya kusafirisha watu kwa malori hata kufanya kampeni hakukuwa na haja wangelala tu.
Unaweza kuthibitisha kwamba wanaokwenda kwenye mikutano ndio wapiga kura?Si bora hata CCM inawajali wapiga kura wake kwa kuwapa usafiri hata Kama ni malori kuliko Chadema.
Picha za maandalizi ya majukwaa ndo unazifanyia tathimini ?? Acha uongo mkuu ...acha wala hautakusaidia chochoteNiwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.
Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.
Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.
Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.
Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.
Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.
Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.
Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.
Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.
Zombie la lumumba linatapatapa tu kama nyati jike aliyejotoni.....leo hujachangishwa wew kibwengu wa mr slowly
hili libwege la sisiemu.
nyau wewe
Hapo hakuna wasanii,ukitaka kuhakikisha ondoa wasanii uone aibu itakayowapata migombani street
Hamna watu wewe wa wapi?View attachment 1558665View attachment 1558672
Siyo vema paka kumwta mwenzako nyau[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyau mwenyewe, ukweli usemwe. Lissu hana ushawishi
Acha ujinga wako wewe, ccm mwenyewe.Nonsense. Huyu mleta mada atakuwa mnafiki sana ni ccm lkn anajifanya Chadema. Sasa ccm wanaosomba watu kwa malori mbona huwasemi.
Hakuna sababu.
Kwa maendeleo waliyofanya kwa miaka mitano hakukuwa na sababu ya kusafirisha watu kwa malori hata kufanya kampeni hakukuwa na haja wangelala tu.
Waambie wanasaccos nao wapeleke kwa malori kama walivyofanya huko Arusha.Hao wameenda kwa usafiri wao, hawajepelekwa na malori
Picha za maandalizi ya majukwaa ndo unazifanyia tathimini ?? Acha uongo mkuu ...acha wala hautakusaidia chochoteView attachment 1558771View attachment 1558772View attachment 1558774
Hao waliokaa hapo kwenye meza kuu ni kina nani?Kwani na wewe umekuwa kama Tibisii? Unaenda kupiga picha mapema wakati watu ndio wanaingia mkutanoni?
Hawana sera ma ccm hayaCCM wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
mleta mada ni snichi