Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Hakuna sababu.
Kwa maendeleo waliyofanya kwa miaka mitano hakukuwa na sababu ya kusafirisha watu kwa malori hata kufanya kampeni hakukuwa na haja wangelala tu.
Si bora hata CCM inawajali wapiga kura wake kwa kuwapa usafiri hata Kama ni malori kuliko Chadema.
 
Si bora hata CCM inawajali wapiga kura wake kwa kuwapa usafiri hata Kama ni malori kuliko Chadema.
Unaweza kuthibitisha kwamba wanaokwenda kwenye mikutano ndio wapiga kura?
We tulia mzee baba mwenyewe kashaona upepo sio mzuri [emoji23][emoji23]
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

Picha za maandalizi ya majukwaa ndo unazifanyia tathimini ?? Acha uongo mkuu ...acha wala hautakusaidia chochote
IMG-20200904-WA0172.jpg
IMG-20200904-WA0145.jpg
IMG-20200903-WA0111.jpg
 
Lissu kawafokea sana watu wa shinyanga jana badala ya kuomba kule.Duuuuu chadema mmechanganyikiwa
 
Poleni ila upande wa pili hali saaaafi fungua ujionee mambo ya simiyu
 

Attachments

  • VID-20200904-WA0041.mp4
    3.5 MB
Tatizo lipo kwa Mgombea mwenyewe. Matusi, Uropokaji na Kejeli vinamfanya asiaminike mbele ya Wananchi.
Hayo Matusi, Uropokaji na Kejeli ilifaa awaachie Wagombea Ubunge na Madiwani, siyo yeye. Inaonekana ndani ya Chama chake anawamudu wote kuanzia Mwenyekiti na Katibu wake, ndiyo maana wanashindwa kumshauri.
 
Nonsense. Huyu mleta mada atakuwa mnafiki sana ni ccm lkn anajifanya Chadema. Sasa ccm wanaosomba watu kwa malori mbona huwasemi.
Acha ujinga wako wewe, ccm mwenyewe.
Mimi ni msema kweli
Alafu ukisema ccm wanasombwa na malori hawa hapa kwenye picha wapo kwenye ndege?
tapatalk_1598706967100.jpg
 
Umejuaje kama hawalali?
Hakuna sababu.
Kwa maendeleo waliyofanya kwa miaka mitano hakukuwa na sababu ya kusafirisha watu kwa malori hata kufanya kampeni hakukuwa na haja wangelala tu.
 
CCM wananichekeshaga sometimes, utadhani ni Mwanamke kisirani, ukiwaletea picha za watu wamejaa kwenye mkutano wanakwambia hao sio wapiga kura, ukileta picha za kubumba zinazoonyesha hakuna watu wanakwambia kuna tatizo, Chadema haikubaliki...... "Enyi Wagalatia msio na akili, nani kawaroga??"
Hawana sera ma ccm haya
 
Back
Top Bottom