Umemtag?Wewe ni mnafiki upo kutafta negativity tu za chadema. Wewe post zako zinaongeleaga tu chadema negatively.View attachment 1558341
Wakati watu wanaanza kuwasili uwanjani😲? We huoni viongozi tayari wanaonekana kuwepo hapo jukwaani..? Sio lazima kujifariji katika kila Jambo, muda mwingine tuukubali ukweli hata Kama utakuwa mchungu😂😂😂Hizi picha zilipigwa wakati watu wanaanza kuwasili uwanjani
Hujuma unayomaanisha ni wao kuchukua picha angle 90, kitu ambacho nyie hamtaki..?Mikutano ya chadema inajaa watu isipokuwa kinachofanyika sasa ni umoja wa vijana wa CCM kushirikiana na le mutuz cyprian Musiba kuwahujumu chadema kuwatengenezea picha kibao za watu wachache kwenye mikono ya madiwani kisha kuonyesha kuwa ni watu wa mkutano wa mgombea Urais wa chadema ni propaganda za kishamba sana,
Ok nenden kamwambie na mumeo huu umbeya wako humu watu wenye akili wamekuchokaNasikia mabakuli bado hanapita, ila mwitikio ni mdogo sana
Watumishi wapo wangapi?Pamoja na hayo kuna watu wengi tu wako upande huo hasa watumishi ila huwezi kuwaona wanaenda huko.
Wanasubiri Oktoba kwenye sanduku
Ukishajua idadi yao jitahidi ujue na idadi ya watu walioko nyuma yao kwa maana ya wazazi wao walioko vijijini wanaowategemea watoto wao ambao ni watumishi, watoto wa watumishi, rafiki zao wa dhati wanaoshuhudia maisha magumu, wategemezi wao wote.Watumishi wapo wangapi?
Kwenye hao watumishi pia ujue wapo walioingia kwa mgongo wa watawala/makada/wakereketwa na wao wana chain ya watu wao hawawez kubali watu wao watoke wakati na wao ndo wanakula hapo usiangalie upande mmoja tu.....wale mnaosemaga wanasaidia kupiga bao la mkono ni watumishi wa Sudan itakuaUkishajua idadi yao jitahidi ujue na idadi ya watu walioko nyuma yao kwa maana ya wazazi wao walioko vijijini wanaowategemea watoto wao ambao ni watumishi, watoto wa watumishi, rafiki zao wa dhati wanaoshuhudia maisha magumu, wategemezi wao wote.
Usiangalie mlima ulitokeza juu ya uso wa bahari, ndani ya bahari mlima unaweza kuwa mkubwa zaidi.
Unaota wewe.Kwenye hao watumishi pia ujue wapo walioingia kwa mgongo wa watawala/makada/wakereketwa na wao wana chain ya watu wao hawawez kubali watu wao watoke wakati na wao ndo wanakula hapo usiangalie upande mmoja tu.....wale mnaosemaga wanasaidia kupiga bao la mkono ni watumishi wa Sudan itakua
Mimi nimekuuliza hao watumishi wapo wangapi? Waliokosa ajira nao ni watumishi?Unaota wewe.
Kuna kundi kubwa liko against mkuu
Wale graduates wa kuanzia 2015
Kuna wafanyabiashara kibao
Watu wa korosho
Sijui kama unayajua haya
Mzee mwenyewe anahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuelewesha kwa kina tu.Mimi nimekuuliza hao watumishi wapo wangapi? Waliokosa ajira nao ni watumishi?
Utaziona akili za wabongo mwishoni.........kwa hayo yote ila kuna watu bado wako loyal sana kwa pande zao za kisiasaNakuelewesha kwa kina tu.
Sina chama ila trend nazisoma
Vyama vyote vilivyoko sokoni kujinadi vina makandokando mengi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mwanza waliruhusiwa?Kule dodoma wafanyakazi walipigwa marufuku kwenda kwenye mikutano ya wapinzani...
Acha ujinga, hiyo nini?Ok nenden kamwambie na mumeo huu umbeya wako humu watu wenye akili wamekuchoka
Kwa hyo...tofauti ni kwamba mmoja anaomba mwingine mwiziAcha ujinga, hiyo nini?View attachment 1559237
Pale Dodoma siyo mtaji wa CDM. Kwa nini tuwekee nguvu nyingi? Tuna focus kupata 60% kutoka kwenye strategic regions zinazojitambua. Kama mnakuwa na mwakilishi kama Kibajaj Lusinde tuwaeleweje??Then unataka hao hao Wagogo wawachague? Unapotafuta kura huwezi kufanya ubaguzi, sasa hata wale ambao wapo Dodoma ambao walitegemea kujiunga na chama chako au wapo kwenye kampeni ili washinde unafikiri wanakufikiriaje? Huu ubaguzi wa chama chenu ndio umewafikisha hapo, mnapoambiwa Chadema ni chama cha ukoo wa kina Mtei mnabwata, mnapoambiwa mlevi wa Konyagi anauwa chama mnabwatuka.
Tanzania ni nchi ambayo haina ubaguzi wa aina yoyote ile, nashangaa tupo karne ya 20 bado kuna jamii ambayo inausongo na baadhi ya makabila. Ni aibu!
We pimbi vipi? Umeona shazi la MbeyaNiwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.
Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.
Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.
Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.
Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.
Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.
Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.
Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.
Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.
Sawa sawaKamanda kwanza tunapoteza muda kumjadili mgombea ambae hatuhusu, pili tuache kujifananisha nae. Tunachopaswa ni kuangalia sisi kama sisi tuna-improve vipi kutoka hapa tulipo.
Video hizo hapo chiniView attachment 1558395View attachment 1558397
Msimfananishe Lissu na hiyo takataka yenuLeta picha kamili ili hao misukule waache kuleta edited!
Magu tano tena.