Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Mikutano ya chadema inajaa watu isipokuwa kinachofanyika sasa ni umoja wa vijana wa CCM kushirikiana na le mutuz cyprian Musiba kuwahujumu chadema kuwatengenezea picha kibao za watu wachache kwenye mikono ya madiwani kisha kuonyesha kuwa ni watu wa mkutano wa mgombea Urais wa chadema ni propaganda za kishamba sana,
 
Hizi picha zilipigwa wakati watu wanaanza kuwasili uwanjani
Wakati watu wanaanza kuwasili uwanjani😲? We huoni viongozi tayari wanaonekana kuwepo hapo jukwaani..? Sio lazima kujifariji katika kila Jambo, muda mwingine tuukubali ukweli hata Kama utakuwa mchungu😂😂😂
 
Mikutano ya chadema inajaa watu isipokuwa kinachofanyika sasa ni umoja wa vijana wa CCM kushirikiana na le mutuz cyprian Musiba kuwahujumu chadema kuwatengenezea picha kibao za watu wachache kwenye mikono ya madiwani kisha kuonyesha kuwa ni watu wa mkutano wa mgombea Urais wa chadema ni propaganda za kishamba sana,
Hujuma unayomaanisha ni wao kuchukua picha angle 90, kitu ambacho nyie hamtaki..?
 
Watumishi wapo wangapi?
Ukishajua idadi yao jitahidi ujue na idadi ya watu walioko nyuma yao kwa maana ya wazazi wao walioko vijijini wanaowategemea watoto wao ambao ni watumishi, watoto wa watumishi, rafiki zao wa dhati wanaoshuhudia maisha magumu, wategemezi wao wote.

Usiangalie mlima ulitokeza juu ya uso wa bahari, ndani ya bahari mlima unaweza kuwa mkubwa zaidi.
 
Ukishajua idadi yao jitahidi ujue na idadi ya watu walioko nyuma yao kwa maana ya wazazi wao walioko vijijini wanaowategemea watoto wao ambao ni watumishi, watoto wa watumishi, rafiki zao wa dhati wanaoshuhudia maisha magumu, wategemezi wao wote.

Usiangalie mlima ulitokeza juu ya uso wa bahari, ndani ya bahari mlima unaweza kuwa mkubwa zaidi.
Kwenye hao watumishi pia ujue wapo walioingia kwa mgongo wa watawala/makada/wakereketwa na wao wana chain ya watu wao hawawez kubali watu wao watoke wakati na wao ndo wanakula hapo usiangalie upande mmoja tu.....wale mnaosemaga wanasaidia kupiga bao la mkono ni watumishi wa Sudan itakua
 
Kwenye hao watumishi pia ujue wapo walioingia kwa mgongo wa watawala/makada/wakereketwa na wao wana chain ya watu wao hawawez kubali watu wao watoke wakati na wao ndo wanakula hapo usiangalie upande mmoja tu.....wale mnaosemaga wanasaidia kupiga bao la mkono ni watumishi wa Sudan itakua
Unaota wewe.
Kuna kundi kubwa liko against mkuu
Wale graduates wa kuanzia 2015
Kuna wafanyabiashara kibao
Watu wa korosho
Sijui kama unayajua haya
Mzee mwenyewe anahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaota wewe.
Kuna kundi kubwa liko against mkuu
Wale graduates wa kuanzia 2015
Kuna wafanyabiashara kibao
Watu wa korosho
Sijui kama unayajua haya
Mzee mwenyewe anahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimekuuliza hao watumishi wapo wangapi? Waliokosa ajira nao ni watumishi?
 
Mimi nimekuuliza hao watumishi wapo wangapi? Waliokosa ajira nao ni watumishi?
Nakuelewesha kwa kina tu.
Sina chama ila trend nazisoma
Vyama vyote vilivyoko sokoni kujinadi vina makandokando mengi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakuelewesha kwa kina tu.
Sina chama ila trend nazisoma
Vyama vyote vilivyoko sokoni kujinadi vina makandokando mengi sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Utaziona akili za wabongo mwishoni.........kwa hayo yote ila kuna watu bado wako loyal sana kwa pande zao za kisiasa
 
Ok nenden kamwambie na mumeo huu umbeya wako humu watu wenye akili wamekuchoka
Acha ujinga, hiyo nini?
tapatalk_1598692370568.jpg
 
Then unataka hao hao Wagogo wawachague? Unapotafuta kura huwezi kufanya ubaguzi, sasa hata wale ambao wapo Dodoma ambao walitegemea kujiunga na chama chako au wapo kwenye kampeni ili washinde unafikiri wanakufikiriaje? Huu ubaguzi wa chama chenu ndio umewafikisha hapo, mnapoambiwa Chadema ni chama cha ukoo wa kina Mtei mnabwata, mnapoambiwa mlevi wa Konyagi anauwa chama mnabwatuka.

Tanzania ni nchi ambayo haina ubaguzi wa aina yoyote ile, nashangaa tupo karne ya 20 bado kuna jamii ambayo inausongo na baadhi ya makabila. Ni aibu!
Pale Dodoma siyo mtaji wa CDM. Kwa nini tuwekee nguvu nyingi? Tuna focus kupata 60% kutoka kwenye strategic regions zinazojitambua. Kama mnakuwa na mwakilishi kama Kibajaj Lusinde tuwaeleweje??
 
Niwe muwazi mimi binafsi nina amini katika mabadiliko, mabadiliko ndiyo chachu ya maendeleo sehemu yoyote ile.

Nimeona na nimekuwa nikifatilia mikutano yote ya mgombea wetu hapa Dar na kuna afadhali kidogo japo mkutano wa segerea na kawe ulikuwa hauna watu sana, atleast kule Mbagala.

Naanza kupata picha, pengine kuna kitu hakipo sawa CHADEMA.

Tusi-conclude kuwa wanaoenda kwenye kampeni za CCM wanafata wasanii tu, hapana.

Ila kama wanafata wanancho wengi wanafata wasanii huko CCM basi sawa, ila pia basi kwa uwingi huohuo na kwa aina ya kukubalika kwa chama chetu basi walitakiwa pia wafate/waje kwa wingi kwenye kampeni zetu.

Kuna mikoa hadi sasa sinaelewa nini hasa kimetokea kutokana na uchache wa watu waliohudhuria tena kwenye viwanja vidogo sana ambavyo tumwchagua kufanyia kampeni.

Tuliona watu kule mwanza na tulifarijika sana na hilo na hadi tukatumia ndege nyuki (drones) kupiga picha za kampeni zetu. Ila baada ya hapo sikuona tena picha za juu (za drone) kwenye kampeni zetu.

Kilichotokea shinyanga, tabora na sasa dodoma ni aibu. Chama kitafute namna au kubadili mbinu ya kampeni ili tuweze kuvuta watu wengi waje kusikiliza sera.

Chini ni picha ya watu waliohudhuria kampeni hii leo huko Dodoma.

We pimbi vipi? Umeona shazi la Mbeya

Next time uje kwa adabu, buku 7 za polepole zisikutoe akili
 
Back
Top Bottom