Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Uchaguzi 2020 Sijafurahishwa na idadi ya watu waliojitokeza kwa Tundu Lissu kwa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Dodoma

Kamanda achana na hao ccm, watu ni muhimu kwenye kampeni. Leo dodoma hakuna watu kabisa, kuna tatizo chadema
Lakini pia mseme kwamba Dodoma ni moja ya ngome kuu za ccm. Ni lazima uwepo mkakati wa makusudi wa kuzitingisha ngome tiifu za ccm kama hizo
 
Tusimaliziane bando la kubiushana. Rais anajulikana.
 
Back
Top Bottom