Sijajua kwa nini Kizazi cha 70's na 80'S ndio cha Machawa wengi. Wengine wanafuata Mkumbo tuu

Sijajua kwa nini Kizazi cha 70's na 80'S ndio cha Machawa wengi. Wengine wanafuata Mkumbo tuu

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Sabato Njema!

Ukifuatilia kwa umakini utagundua machawa wengi na Waasisi wa uchawa ni kizazi cha Miaka 70's na 80's.

Sijajua nini kilitokea Miaka hiyo kuanzia ulaji wa chakula, mitindo ya Maisha, siasa za wakati huo, mambo ya kiteknolojia.

Wanahistoria, watafiti na wanasayansi mjaribu kufuatilia nini kimesababisha kizazi cha Watanzania waliozaliwa Miaka hiyo kuwa Machawa kwa Kiasi kikubwa

Sitaki kuwataja lakini wanafahamika.

Kwenye machawa 10 Basi nane wamezaliwa Miaka ya 70's au 80's

Ikumbukwe pia kizazi hiki ndio kimezaa kizazi cha 90's na Gen Z.

Hawa kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah ni wafuata mkumbo tuu. Lakini si machawa OG

Nini kilitokea?
 
Sabato Njema!

Ukifuatilia kwa umakini utagundua machawa wengi na Waasisi wa uchawa ni kizazi cha Miaka 70's na 80's.

Sijajua nini kilitokea Miaka hiyo kuanzia ulaji wa chakula, mitindo ya Maisha, siasa za wakati huo, mambo ya kiteknolojia.

Wanahistoria, watafiti na wanasayansi mjaribu kufuatilia nini kimesababisha kizazi cha Watanzania waliozaliwa Miaka hiyo kuwa Machawa kwa Kiasi kikubwa

Sitaki kuwataja lakini wanafahamika.

Kwenye machawa 10 Basi nane wamezaliwa Miaka ya 70's au 80's

Ikumbukwe pia kizazi hiki ndio kimezaa kizazi cha 90's na Gen Z.

Hawa kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah ni wafuata mkumbo tuu. Lakini si machawa OG

Nini kilitokea?
Kihistoria miaka hiyo ndo tuliletewa sana unga wa ugali kama msaada kutokana na kuharibika kwa uchumi.

Nimewahi kusoma sehemu mahindi ni chakula cha ng'ombe huko America Kaskazini na Kusini na yanadumaza akili.

May be chanzo kinaweza kuwepo hapo.
 
Kihistoria miaka hiyo ndo tuliletewa sana unga wa ugali kama msaada kutokana na kuharibika kwa uchumi.

Nimewahi kusoma sehemu mahindi ni chakula cha ng'ombe huko America Kaskazini na Kusini na yanadumaza akili.

May be chanzo kinaweza kuwepo hapo.
Hicho Ndio Kizazi kilichowaletea Mfumo wa vyama Vingi nyie Simbilisi 🐼😂
 
Sabato Njema!

Ukifuatilia kwa umakini utagundua machawa wengi na Waasisi wa uchawa ni kizazi cha Miaka 70's na 80's.

Sijajua nini kilitokea Miaka hiyo kuanzia ulaji wa chakula, mitindo ya Maisha, siasa za wakati huo, mambo ya kiteknolojia.

Wanahistoria, watafiti na wanasayansi mjaribu kufuatilia nini kimesababisha kizazi cha Watanzania waliozaliwa Miaka hiyo kuwa Machawa kwa Kiasi kikubwa

Sitaki kuwataja lakini wanafahamika.

Kwenye machawa 10 Basi nane wamezaliwa Miaka ya 70's au 80's

Ikumbukwe pia kizazi hiki ndio kimezaa kizazi cha 90's na Gen Z.

Hawa kina Lucas Mwashambwa na Tlaatlaah ni wafuata mkumbo tuu. Lakini si machawa OG

Nini kilitokea?
Gentleman,
athari za kurogwa ni pamoja na kushadadia au kukomaa na dhana potofu zisizo na tija wala athari zozote kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa.

nadhani ni dhana inayosukumwa na chuki binafsi baada ya kushindwa hoja, ndio sasa watu huanza kuitana manyumbu n.k,

hata hivyo,
maisha ni lazima yaendelee tu 🐒
 
Tlaatlaah na Lucas wamefanya uchawa kuwa sehemu ya maisha yao, wakitetea kila jambo bila hoja za msingi, hata pale panapohitaji uwazi na uwajibikaji. Wanajali zaidi maslahi yao binafsi kuliko ukweli au ustawi wa wengi, wakigeuza siasa kuwa uwanja wa kujipendekeza badala ya kuleta mabadiliko halisi.
 
Nadhani vijana hamkuwepo enzi za Mwalimu ! Enzi za chama kushika hatamu na zidumu fikra Sahihi za mwenyekiti!

Sema huu uchawa wenu umepitiliza mnapoteza hata urijali!
 
Wanasema eti vijana wa siku hizi wamelelewa vibaya tofauti na zamani.

Ila vijana wa siku hizi siwaoni kwenye uchawa hama hao watu wa miaka hiyo, wasanii wengi na watu maarufu wengi ni wa miaka hiyo na ndo machawa pro max.

Sijui wana shida gani hawa watu.
 
Gen Z wanachakarika.. hawasubiri pesa za uchawani
 
Kihistoria miaka hiyo ndo tuliletewa sana unga wa ugali kama msaada kutokana na kuharibika kwa uchumi.

Nimewahi kusoma sehemu mahindi ni chakula cha ng'ombe huko America Kaskazini na Kusini na yanadumaza akili.

May be chanzo kinaweza kuwepo hapo.

Mmmh!
Watafiti, wanahistoria na wanasayansi tunawategemea kwenye Hili
 
Nakuambia wewe fuatilia
Ukiweza kutaja machawa 10 wa Miaka ya 90 na Gen Z au 60's kurudi nyuma Mimi nakutajia machawa 100 bila kufikiria waliozaliwa Miaka ya 70's na 80's
Mambo ya Uchawa ni Hawa Vijana wa Energy wa miaka ya kuanzia 90s

Ndio sababu Rais Samia anesema Kwa Sasa Taasisi zinazofanya vizuri ni zile zinazoongozwa na Wanawake NMB, Bunge, Wizara ya Ulinzi nk

Machawa Kazi yao kujichubua ngozi tu 🐼
 
Back
Top Bottom