Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #281
Yawezekana. Wengi wa wanyakyusa ni vipande hasaHuyo amekulia mbeya mjini kwenye tabu na shida za dunia sio mbeya vijijini kwenye asali na maziwa yanayonisahulisha mijengo ya Dar es salaam
Shida ya vijana wenzatu wakienda kwenye maeneo ya watu wanakuwa na element zilezile za mjini. Wakati ukifika huko Kwa watu kituo Cha kwanza ni kwenye uongozi katika huo uongozi hukoswi wazee kamwe jioni waombe uwatoe hata kama kilabuni au bar au kwenye kijiwe nunua pombe wanywe ama kahawa Hadi wakimbie. Halafu waachie na 5000 Kila mmoja Kazi kwisha. Jambo lolote ukiwafata hata Hela hawakuombi Tena!Wachawi wala awasumbui kama una jua code wewe ni kuwakamata wazee ilo limeisha . Kuna sehemu tulikuwa na mradi mkubwa wa kilimo wakawa wamekausha bwawa la maji ikabidi tuwaibukie wazee wakafanya yao na kuchinja ngombe na wakawatahadhalisha kuwa wazee wametoa baraka zote asije akajaribu mtu yoyote kuleta mchezo baadae maji yakaludi bwawa lote likafilika na kilimo kinaendelea hadi leo
Aiseeeeh sijui kwa kule maana hata wao kwa wao wanaogopanaWachawi wala awasumbui kama una jua code wewe ni kuwakamata wazee ilo limeisha . Kuna sehemu tulikuwa na mradi mkubwa wa kilimo wakawa wamekausha bwawa la maji ikabidi tuwaibukie wazee wakafanya yao na kuchinja ngombe na wakawatahadhalisha kuwa wazee wametoa baraka zote asije akajaribu mtu yoyote kuleta mchezo baadae maji yakaludi bwawa lote likafilika na kilimo kinaendelea hadi leo
Ni kweli kabisa heshima aikuondolei chochote katika maisha haya. Wazee wa muhimu kuwaona .Shida ya vijana wenzatu wakienda kwenye maeneo ya watu wanakuwa na element zilezile za mjini. Wakati ukifika huko Kwa watu kituo Cha kwanza ni kwenye uongozi katika huo uongozi hukoswi wazee kamwe jioni waombe uwatoe hata kama kilabuni au bar au kwenye kijiwe nunua pombe wanywe ama kahawa Hadi wakimbie. Halafu waachie na 5000 Kila mmoja Kazi kwisha. Jambo lolote ukiwafata hata Hela hawakuombi Tena!
Ukipata hela nenda nunua mapema zaidi maana siku hizi usafiri wa SGR umerahisisha mambo unaenda na kurudi fasta. Kuoshi huko imekuwa rahisi zaidi ukiweka mikakati yako vizuri mzeeKatika Maisha yangu natamani niishi Morogoro Vijijini, kazi ninayotamani ni Kilimo na Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji tu.
Naamini nitatoboa, ni vile mambo bado hayajakaa sawa.
Kwa kifupi umenipa ramani halisi ya Kile natamani
Na kweliUkipata hela nenda nunua mapema zaidi maana siku hizi usafiri wa SGR umerahisisha mambo unaenda na kurudi fasta. Kuoshi huko imekuwa rahisi zaidi ukiweka mikakati yako vizuri mzee
Mwezi wa 4 nilikuwa pwaga, sikuina fursa nilikuwa na kama 40M nilirudi nazo townWakati mwingine uje na Kilosa nikutembeze vijijini ujionee fursa za wazi kuanzia:-
Dumila na mateteni-kilimo Cha Nyanya
Kilangali, Tindiga, Kivungu- Kilimo Cha mpunga
Zombo, Ulaya-kilimo Cha mahindi
Lumuma, Pwaga, Mnozi, Ruaha mbuyuni, Kitati, Kidete n.k - kilimo Cha vitunguu na Mahindi
Sehemu zote hizo mazao mchanganyiko kama mbaazi, ufuta, kunde, maharage, alizeti n.k yanalimwa sana pia ufugaji wa kuku, Bata, kanga, mbuzi, nguruwe, Ng'ombe, punda n.k
Karibu Kilosa
Hadi wenyeji mkuuMwezi wa 4 nilikuwa pwaga, sikuina fursa nilikuwa na kama 40M nilirudi nazo town
Kule kwetu Ifakara wilaya ya Kilombero unaitwa MgudeNaomba jina la mti huu Tafadhar iwe kilugha ama Kwa kiswahili nahifadhi kumbukumbu.
View attachment 3155020
Mti mzuri sanaKule kwetu Ifakara wilaya ya Kilombero unaitwa Mgude
Ukweli ndo huo vijana tunalalamika sana lakini fursa zimetuzunguka. Nikifa MkeWangu Asiolewe , safi sana kwa kuleta uzi wa aina hii,...
. Nimesikitika sana kusikia sehemu hiyo kuwa vijana wanaota moto badala ya kufanya kazi kwa bidii .. 🥺 🥺
. Vijana wanataka kazi za kukaa ofisini, huku wakizungushwa na viti vya matairi,Ukweli ndo huo vijana tunalalamika sana lakini fursa zimetuzunguka
Ukienda Pale Makao makuu ya Udzungwa panaitwa Mang'ula kwa mbele ipo mingi na kulikuwa na kituo kabisa kinaitwa Mgudeni.Mti mzuri sana