Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha haha ile ya ukweni? Baba Mkwe alinipiga mkwara nisiendeleeNamfuatilia vizuri umughaka saivi ila buji kuna story yako na ww hujaimaliza ile ulivopelekwa kurithishwa
Shida ya salafu za mtandaoni usalama mdogoNdio huyu jamaa aliyeandika kitabu cha The rich Dad and poor Dad? MaJuzi alishauri watu wawekeze kwa kununua Dhahabu na Silver wakati huu bei hiko chini baadaye watatajirika. Pia amewatahadharidha watu wawe makini kwenye crypto ni kama bahati na sibu ila wanunue tu kama pata potea lakini huu ndo muda wa kununua Bitcoin na crypto zingine na kusahau zisikufanye uwe na pressure.
Pia kashauri watu wasipuuzie kuwekeza kwenye commodities kama pamba ma ngano.
Jamaa alitake advantage ya mdororo wa uchumi wa 2008 akakopa na kuwekeza.
Kuna jamaa flani Marekani kakopa 250 million usd na kuwekeza kwenye Bitcoin kwa kuzinunua.