Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
natamani kufanya ila namna ya kuanza biashara hiyo ndipo nashishindwa, yaani sijui nianzie wapiFanya biashara sio kwa ajil ya pesa bali kwa ajil ni kitu unakipenda utakifanya kwa ukamilifu changamoto utapambana nazo