TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Anasema wahitimu wenye degree waende VETA ?
Tatizo kubwa la vijana ni ajira hili lipo wazi.
Kwamba kwenda VETA ni muarobaini wa kukabiliana na tatizo la ajira?,halaah sijaelewa
Vijana wote waliopita VETA wana ajira ndicho anachotaka kutuambia?,simuelewi.
Kwamba mimi nina degree ya ETE sona ajira,haya niende VETA nikasome Electronics au CCTV camera installation ndio nitapata ajira au vipi?.
Soma Pia: Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Vipi yeye vijana wake wenye degree amewapeleka VETA na ameona mafanikio hivyo anataka nasi tufuate nyayo? Aaaaw.
Vipi huko VETA watasoma bure ama namna gani vipi?
Yale yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi kama Kassim ama kama PM?.
Tatizo kubwa la vijana ni ajira hili lipo wazi.
Kwamba kwenda VETA ni muarobaini wa kukabiliana na tatizo la ajira?,halaah sijaelewa
Vijana wote waliopita VETA wana ajira ndicho anachotaka kutuambia?,simuelewi.
Kwamba mimi nina degree ya ETE sona ajira,haya niende VETA nikasome Electronics au CCTV camera installation ndio nitapata ajira au vipi?.
Soma Pia: Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Vipi yeye vijana wake wenye degree amewapeleka VETA na ameona mafanikio hivyo anataka nasi tufuate nyayo? Aaaaw.
Vipi huko VETA watasoma bure ama namna gani vipi?
Yale yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi kama Kassim ama kama PM?.