Sijamuelewa Bwana mkubwa Kassim

Sijamuelewa Bwana mkubwa Kassim

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Anasema wahitimu wenye degree waende VETA ?

Tatizo kubwa la vijana ni ajira hili lipo wazi.

Kwamba kwenda VETA ni muarobaini wa kukabiliana na tatizo la ajira?,halaah sijaelewa

Vijana wote waliopita VETA wana ajira ndicho anachotaka kutuambia?,simuelewi.

Kwamba mimi nina degree ya ETE sona ajira,haya niende VETA nikasome Electronics au CCTV camera installation ndio nitapata ajira au vipi?.

Soma Pia: Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

Vipi yeye vijana wake wenye degree amewapeleka VETA na ameona mafanikio hivyo anataka nasi tufuate nyayo? Aaaaw.

Vipi huko VETA watasoma bure ama namna gani vipi?

Yale yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi kama Kassim ama kama PM?.
 
Anasema wahitimu wenye degree waende VETA ?

Tatizo kubwa la vijana ni ajira hili lipo wazi.

Kwamba kwenda VETA ni muarobaini wa kukabiliana na tatizo la ajira?,halaah sijaelewa

Vijana wote waliopita VETA wana ajira ndicho anachotaka kutuambia?,simuelewi.

Kwamba mimi nina degree ya ETE sona ajira,haya niende VETA nikasome Electronics au CCTV camera installation ndio nitapata ajira au vipi?.

Vipi yeye vijana wake wenye degree amewapeleka VETA na ameona mafanikio hivyo anataka nasi tufuate nyayo? Aaaaw.

Vipi huko VETA watasoma bure ama namna gani vipi?

Yale yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi kama Kassim ama kama PM?.
Kama hawatapata ajira, serikali uko tayari kuwapa mikopo ili wanunue vifaa vya kufanyia kazi na maeneo?
 
Namimi najazia , je kassim hana imani na mfumo wetu wa elimu ?
👉 kama kweli ana uchungu kwanini basi mtu asubiri hadi amalize degree then aende tena Veta? Kama yupo serious apeleke mswada bungeni kufanyiwe reform kwenye eneo la elimu kwamba mtoto akimaliza secondary au advanced sec aende moja mwa moja veta kabla haja enroll chuo kwa ajili ya degree.
👉 je kassim majaliwa ameshafanya utafiti kuhusu ubora wa vyuo vya veta vilivyopo nchini kuona km vinakidhi vigezo?
 
Katoa ushauri wa kiume,kaongea kama baba,hakuna kuremba remba maneno,kaongea ukweli,japo mchungu!

Hakuna nchi imeajiri watu wake wote duniani,hakuna!

Amewafumbua macho,amewatoa uzubavu,kwamba wachangamke,kwa pale amesema veta tu ila kamaanisha wajiongeze,wawe wabunifu na miongoni mwa sehemu ya kuongeza maarifa ya ziada ni veta!

Serikali inatoa mikopo kila siku kwa vikundi vya vijana!
Wakachukue wakatumie elimu zao kwenye kilimo,uvuvi,ujasiamali,kila mtu kulingana mapenzi na uwezo wake.

na kwa njia hii ndio nchi kama china,india zilivyoweza kupiga hatua!
basi tu ni vile wengine wataitumia kauli yake kisiasa!

Binafsi nimemkubali,hajataka kuwapaka watu mafuta kwa mgongo wa chupa!
 
Anasema wahitimu wenye degree waende VETA ?

Tatizo kubwa la vijana ni ajira hili lipo wazi.

Kwamba kwenda VETA ni muarobaini wa kukabiliana na tatizo la ajira?,halaah sijaelewa

Vijana wote waliopita VETA wana ajira ndicho anachotaka kutuambia?,simuelewi.

Kwamba mimi nina degree ya ETE sona ajira,haya niende VETA nikasome Electronics au CCTV camera installation ndio nitapata ajira au vipi?.

Vipi yeye vijana wake wenye degree amewapeleka VETA na ameona mafanikio hivyo anataka nasi tufuate nyayo? Aaaaw.

Vipi huko VETA watasoma bure ama namna gani vipi?

Yale yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi kama Kassim ama kama PM?.
nawashi vijana wote nchini hususani graduates wanaozurura mjini kutafuta ajira za taaluma zao bila kua na ujuzi,

ni muhimu kuchukua na kuzingatia mawaidha hayo muhimu sana ya waziri mkuu kwamba licha ya kwamba graduate wamehitimu degree zao,

bado wanalazimika kua na ujuzi ili hatimae kukidhi soko la ajira lakini pia kujianzishia shughuli mbalimbali za kiuchumi kutumia ujuzi waloupata veta ili hatimae kujikwamua kutoka kwenye unyonge wa kiuchmi wanaopitia katika maisha yao 🐒
 
Makonda simkubali, ila hiyoo nafasi ya waziri mkuu angekuwa nayoo angefanya mambo mengi sana.
 
Labla alimaanisha elimu ya chuo ni nadharia kuliko ya veta ambayo ni ya vitendo.

Anyway, naulizia veta inayotoa msosi bure 😭
 
Ulikuwa ni ushauri na pendekezo lake tu, kama kijana mwenye degree anaweza kuweka degree pembeni na kujiajiri hivohivo anaweza kwenda kutafuta ujuzi kwa ajili ya kupata pesa kwa ajili ya maisha yake.
 
Kasi boy kasema nenda kajifunze ufundi
 
Majobless wakisikia Veta wanakosa Amani. Sababu maisha ya Veta hayana tofauti na maisha ya secondary Kule ni uniform plus mpaka fimbo zinatembezwa,

Anyway kikubwa kujifunza na kujifunza si Ushamba.

Kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake, Kumi Jezi za kijani ni matapeli.

Chance ya kutoka Veta na kuishia kuwa jobless ni ile ile, Majobless 2025 Kura yako hatma yako.
 
nawashi vijana wote nchini hususani graduates wanaozurura mjini kutafuta ajira za taaluma zao bila kua na ujuzi,

ni muhimu kuchukua na kuzingatia mawaidha hayo muhimu sana ya waziri mkuu kwamba licha ya kwamba graduate wamehitimu degree zao,

bado wanalazimika kua na ujuzi ili hatimae kukidhi soko la ajira lakini pia kujianzishia shughuli mbalimbali za kiuchumi kutumia ujuzi waloupata veta ili hatimae kujikwamua kutoka kwenye unyonge wa kiuchmi wanaopitia katika maisha yao 🐒
Suluhisho lipo lakini si kwa kuwataka waende VETA.,watulizw akili zao wawatafute think tanks watawapa mawazo pevu
 
Majobless wakisikia Veta wanakosa Amani. Sababu maisha ya Veta hayana tofauti na maisha ya secondary Kule ni uniform plus mpaka fimbo zinatembezwa,

Anyway kikubwa kujifunza na kujifunza si Ushamba.

Kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake, Kumi Jezi za kijani ni matapeli.

Chance ya kutoka Veta na kuishia kuwa jobless ni ile ile, Majobless 2025 Kura yako aliyopo VETA anatamani awe chuo kikuu,na mwenye cheti cha VETA anatamani awe na cheti cha degree
 
Ulikuwa ni ushauri na pendekezo lake tu, kama kijana mwenye degree anaweza kuweka degree pembeni na kujiajiri hivohivo anaweza kwenda kutafuta ujuzi kwa ajili ya kupata pesa kwa ajili ya maisha yake.
Kwamba ktk degree yake hakupata ujuzi?,mpaka akaupate VETA?
 
Katoa ushauri wa kiume,kaongea kama baba,hakuna kuremba remba maneno,kaongea ukweli,japo mchungu!

Hakuna nchi imeajiri watu wake wote duniani,hakuna!

Amewafumbua macho,amewatoa uzubavu,kwamba wachangamke,kwa pale amesema veta tu ila kamaanisha wajiongeze,wawe wabunifu na miongoni mwa sehemu ya kuongeza maarifa ya ziada ni veta!

Serikali inatoa mikopo kila siku kwa vikundi vya vijana!
Wakachukue wakatumie elimu zao kwenye kilimo,uvuvi,ujasiamali,kila mtu kulingana mapenzi na uwezo wake.

na kwa njia hii ndio nchi kama china,india zilivyoweza kupiga hatua!
basi tu ni vile wengine wataitumia kauli yake kisiasa!

Binafsi nimemkubali,hajataka kuwapaka watu mafuta kwa mgongo wa chupa!
Wakienda VETA tatizo lao la Ajira linakwisha?
 
Suluhisho lipo lakini si kwa kuwataka waende VETA.,watulizw akili zao wawatafute think tanks watawapa mawazo pevu
nadhani waziri mkuu hakulazimisha kwamba ni Lazima waende kupata ujuzi veta, nadhani hata kwingineko graduates hao wanaweza kwenda kupata ujuzi kulingana na hobi zao,

Lengo kuu ni kuwakamua vijana hawa graduates na kuwatoa kwenye mkwamo wa ukosefu wa ajira nchini 🐒
 
Back
Top Bottom