Samaritan Nemesis
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 239
- 284
KHAMakonda simkubali, ila hiyoo nafasi ya waziri mkuu angekuwa nayoo angefanya mambo mengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KHAMakonda simkubali, ila hiyoo nafasi ya waziri mkuu angekuwa nayoo angefanya mambo mengi sana.
Hapana! Ila wengi wao wenye akili ya kujiongeza wakipita veta wataziona fursa nyingi ambazo katika vyuo vya kawaida hazionekani! Wakuzitumia watazitumia,wakulalamika wataendelea kulalamika!Wakienda VETA tatizo lao la Ajira linakwisha?
Vyuoni napo wanatoa ujuzi pamoja na utaalamu ndio maana kuna walimu wanatoa huduma ya tuition na kuna wanasheria wengi wamekuwa mawakili wa kujitegemea kwa hiyo sio wote wahitimu wanatumia ujuzi na elimu yao kuibadirisha kuwa pesa kutokana na kutoona fursa na gharama pia.Kwamba ktk degree yake hakupata ujuzi?,mpaka akaupate VETA?
Huyu PM ukimchunguza vizuri utabaini aliwekwa pale na Magu kwasbaba alikuwa dhaifu kichwani tena sio yeye hata Yule mama mkuu wa machawa.Anasema wahitimu wenye degree waende VETA ?
Tatizo kubwa la vijana ni ajira hili lipo wazi.
Kwamba kwenda VETA ni muarobaini wa kukabiliana na tatizo la ajira?,halaah sijaelewa
Vijana wote waliopita VETA wana ajira ndicho anachotaka kutuambia?,simuelewi.
Kwamba mimi nina degree ya ETE sona ajira,haya niende VETA nikasome Electronics au CCTV camera installation ndio nitapata ajira au vipi?.
Soma Pia: Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri
Vipi yeye vijana wake wenye degree amewapeleka VETA na ameona mafanikio hivyo anataka nasi tufuate nyayo? Aaaaw.
Vipi huko VETA watasoma bure ama namna gani vipi?
Yale yalikuwa ni mapendekezo yake binafsi kama Kassim ama kama PM?.