Sijamuelewa Bwana mkubwa Kassim

Kwamba ktk degree yake hakupata ujuzi?,mpaka akaupate VETA?
Vyuoni napo wanatoa ujuzi pamoja na utaalamu ndio maana kuna walimu wanatoa huduma ya tuition na kuna wanasheria wengi wamekuwa mawakili wa kujitegemea kwa hiyo sio wote wahitimu wanatumia ujuzi na elimu yao kuibadirisha kuwa pesa kutokana na kutoona fursa na gharama pia.
So sio vibaya kwa muhitimu kutafuta ujuzi kwa sababu ameona fursa na anataka kuichukuwa kwa ajili ya maendeleo yake binafsi.
 
Huyu PM ukimchunguza vizuri utabaini aliwekwa pale na Magu kwasbaba alikuwa dhaifu kichwani tena sio yeye hata Yule mama mkuu wa machawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…