Sijamuona Prof. Manya katika Baraza jipya la mawaziri

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Alikuwa naibu waziri madini. Ni Prof mwenye elimu bobezi ya madini. Anajua nje ndani kuhusu madini. Ila ndio hivyo uongozi ni kupokezana kijiti
 
Kuna siku alimsifia sana Hayati kuwa ameongeza Pato la Nchi kupitia madini kuliko serikali zote za awamu ya 1,23,4 ni maoni yangu mm lichunga Ng'ombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…