BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Dr Kimei wa Vunjo yumo?Kapigwa chini. Tatizo hayupo kwenye system ya wenye chama. Magufuli sijui alimuibua wapi.Ikute alishauriwa na Sundi Malomo.
Alikuwa katibu mtendaji tume ya madini kabla ya kuwa naibu waziri madini. Ni mzoefu katika nyanja ya madiniKapigwa chini. Tatizo hayupo kwenye system ya wenye chama. Magufuli sijui alimuibua wapi.Ikute alishauriwa na Sundi Malomo.
HayumoDr Kimei wa Vunjo yumo?
Uzoefu haumatti Haendani na kasi ya Samia.Alikuwa katibu mtendaji tume ya madini kabla ya kuwa naibu waziri madini. Ni mzoefu katika nyanja ya madini
Labda Hajui kufanya hiviAlikuwa naibu waziri madini. Ni Prof mwenye elimu bobezi ya madini. Anajua nje ndani kuhusu madini. Ila ndio hivyo uongozi ni kupokezana kijiti
Alikuwa naibu waziri madini. Ni Prof mwenye elimu bobezi ya madini. Anajua nje ndani kuhusu madini. Ila ndio hivyo uongozi ni kupokezana kijiti
DahSSH kachemka sana hapa.
DuhKuna siku alimsifia sana Hayati kuwa ameongeza Pato la Nchi kupitia madini kuliko serikali zote za awamu ya 1,23,4 ni maoni yangu mm lichunga Ng'ombe.