Sijaona dalili yoyote ya ugaidi tukio la Selander jana 25/8/2021

Sijaona dalili yoyote ya ugaidi tukio la Selander jana 25/8/2021

Ile ilikuwa show kati ya Raia aliyekerwa na matendo ya Police vs Police wenyewe.

Ungekuwa ni ugaidi angeburuza raia kama 100 na ushee ili kushinikiza serikali kutoa majibu kwa takwa lake.

Na baada ya tukio tu kikundi kilichomtuma kingetoa msimamo...

Ila jamaa ana mafunzo mazuri ya kutumia silaha...aliyapata wapi, na kina nani, kwa ajili ya nini hasa ...majibu ya haya yote wasingemuua wangeshayajua.
Labda alipitia JKT
 
Drill ya askari mwenye silaha aliyekuwa Gadi ni haruhusiwi yaani ni marufuku kuruhusu mtu yeyote kumsogelea uelekeo wake bila kujitambulisha... "hapo hapo ulipo simama jitambulishe!!!" hii ni command yaani hata awe General Mabeyo lazima atii ndo mengine yafuate la sivyo anaruhusiwa kushoot.

Askari upo Gadi mtu mwenye muonekano ule wa Hamza ambaye kwa jamii yetu tulivyo aminishwa watu wa Somalia ni very extremists, askari wetu waliruhusu vipi kusogelewa karibu kiasi cha kushambuliwa.

Hamza alikuwa na Pisto (shotgun) alihitaji kuitoa sehemu alipoweka kama ni kiunoni au wapi God knows, kisha aanze kushoot askari wawili kwa mpigo!!! Tena askari wenye assault Riffle sub machine gun (SMG) kwa haraka na kuwadhuru bila yeye kujeruhiwa!! Huyu Hamza atakuwa ni Ranger marksman mzuri sanaaa!!

Hili tukio lina questions Marks?? nyingi sanaaa.. Wahusika wawe makini katika kutoa taarifa aisee
 
Wamemuua Ili kuficha ushahidi asifunue Siri ya dhuluma
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shako HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Ambaye alitoa tamko kwamba lile ni tukio la kigaidi ana sifa zote muhimu za kuitwa MPUMBAVU
 
Kwa hiyo huyu alipanga 25/8 ndio akaoneshe chuki zake kwa polisi wa uniform, hao rai 6 waliojeruhiwa sio kitu cha kutiliwa maanani? Nani anaye jua Misri alikutana na watu wa aina gani?

Kwanini alikuwa mshabiki wa jihad, tunajua jihadist wanahusishwa na ugaidi sehemu mbalimbali duniani?

Nini kilimfanya aende jirani na eneo ambalo lilikumbwa na mashambulio ya kigaidi agust 1998? Ukisema ni kumbukizi ya tukio hilo inakuwa si sawa?

Nani alimfadhili kwenda kusoma Misri kuna ambaye ameshajua hilo. Familia za magaidi hulipwa na wafadhili wa ugaidi kupitia gaidi mwenyewe kwa hiki kipindi kifupi tayari uchunguzi wa yote haya umeshafanyika?

Afichaye ugonjwa/maradhi iko siku isiyojulikana kifo kitamuumbua. Mpaka sasa kimsingi kifo kimeshaumbua na kinachoendelea ni funika kombe tu. Penetration ya Hamza katika ranks za chama imetisha.
Wotd tumeona tukio,angetaka kuua raia basi angewamaliza wengi tu!Pili,ulitaka awashambulie askari lini ili uridhike?Tatu,kwa jinsi polisi walivyokuwa wanarusha risasi hovyo,yawezekana wao ndio wamejeruhi hao watu 6!
Ukiangalia vizuri,askari walirusha risasi hovyo bila kuangalia usalama wa mwenzao ambaye alikuwa amejeruhiwa!
Angalia ile clip wakati hamza amejitokeza kutoka kwenye kibanda!
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
WE NAAAAANI , WE DOGO?? 🙄🙄🙄😃😃
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
Hivi ugaidi mbona unauchambua kiuchwara uchwara ivo? Ama gaidi ni lazima atoke sayari nyingine huko ndio atue Tanzania?

Ama ni lazima liwe kundi kundi hivi (kama tunavyoaminishagwa) na vipi chembe chembe za ugaidi je?

Hakuna definition moja au mbili au tatu za neno ugaidi zinazokubaliwa na kukubalika na jamii ama nchi zote. It is subjective, it is a charged term. it is simply "morally wrong".

Kuna non-political terrorism pia. Officials or state terrorism, criminal terrorism, democracy and domestic terrorism nk nk, ufafanuzi unahitaji muda kiasi.


Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Ni gaidi kwa hisia za kimtandoa na ile phobia waliyotengenezewa watu wakisikia mtu anatamka maneno ya kiarabu, but sisi wana taaluma wa maswala ya usalama tunaona kuwa siyo terrorism kwa sababu tukio hilo halijagusa maeneo makuu manne ambayo wataalamu wa mambo ya usalama na counter terrorism intelligence wamebainisha.
Counter terrorism intelligence haigusi mambo manne tu. It is a very broad topic.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...
wamechoka kunyaswanyaswa
 
Baada ya tukio hili!nimegundua Watz tunalindwa na Mungu tu na sio Polisi!!Polisi wetu ni wazembe sana!!!wanajua kupambana na vyama pinzani na sio uhalifu!!!KULIKUA KUNA HAJA GANI KUMUUA MTU ALIE SALIM AMRI????KAMA SIO UOGA NI NINI???ONA SASA WAMEKOSA UPELELEZI MZURI KWA KUMUUA HAMZA!!!ETI WANAIKAMATA FAMILILIA YA HAMZA NA KUIHOJI KWANINI WASINGE MKAMATA MHUSIKA????!!!
Na laiti kusingekuwa na technology tungedanganywa kuwa Hamza ni jambazi na uongo Tele. Ninachoamini na silazimishi MTU mwingine aamini Hamza amelipiza kisasi Kwa Polisi,binadamu wanaojiona wakivaa Yale maguo Yao ni miungu.
 
Kuna watu kwa sababu zao mahususi wao uhalifu wowote wa kutumia silaha ili mradi muhusika ni muislam au ana jina linalohisiwa ni la kiislam basi huyo ni gaidi/ugaidi.
 
Kimsingi kuna kitu hakifahamiki vizuri kwa wananchi, vyombo vya usalama nacho ni neno UGAIDI na kama wanakifahamu vizuri basi wanapotosha purposely.

Neno ugaidi lina maana ya Tishio, au kitendo kinacholenga kutisha watu kwa malengo ya kisiasa, kijamii, na kiusalama, hii ndio maana halisi inayofahamika katika vyombo vikubwa vya kiusalama hivyo ile definition ya kwenye somo la General studies haina mashiko ni brainwshing.

Hivyo basi tukio lolote lile ili lihesabiwe kuwa ni ugaidi lazima liguse angle kama tatu.

Moja:Siasa, ugaidi wa kisiaa hulenga kuinfluence malengo ya kundi fulani dhidi ya mamlaka inayotawala ili kubargain state authorities ili kupata sehemu au hadhi fulani katika serikali., Hivyo tukisema kuwa tukio.la salender ni UGAIDI tujiulize kuwa je jamaa huyo alikuwa na lengo la.kuitisha serikali ili apate naye mamlaka au ushawishi au apewe heshima na nafasi ya kisaisa katika serikali?

Bila shaka HAPANA, hivyo kisiasa tukio la jana siyo kigaidi.

Pili:Angle ya tatu ni Jamii, ili tukio liwe ni ugaidi ni lazima liwe na mlengo wa kuitisha hadhira/majorities ya watu ili kundi hilo au mtu huyo apate nguvu au aeneze nguvu zake kwa jamii hiyo ili kuitetelesha dola mfano kuua raia, kulipua masoko, minada, kujitolea muhanga katika vyombo vya usafiri., hivyo tukisema kuwa tukio la jana ni ugaidi tujiulize je aliilenga jamii ya watanzania?

Bila shaka No kwa sababu hakushambulia raia licha ya kuwa raia walikuwepo wengi na uwezo wa kufanya lolotebalikuwa nao., hivyo kwa kigezo hiki pia tukio la jana sio ugaidi.

Tatu, Ili tukio liwe la kigaidi ni lazima liguse angle ya Usalama(Security) kwa maana ya kudistabilize usalama wa nchi ili kuleta vurugu, uasi, na jaribio la mapinduzi , hali hii haijatokea salender , hivyo pia mimi sioni dalili ya ugaidi hapo.

Nne, Angle nyingine ni uchumi, ili tukio liwe la kigaidi halina budi kugusa eneo la uchumi wa nchi yoyote, washambuliaji/magaidi ni lazima wawe na lengo la kudistabilize uchumi wa eneo fulani ktk nchi, bara au dunia mfano kufanya piracying yaani uharamia wa majini mfano kuteka meli za mafuta ili kupewa fidia fulani, kuteka migodi mikubwa na maeneo nyeti ya kibiashara na uchumi, hivyo basi tukio la salender halina sifa ya ugaidi ktk mtizamo wa kiuchumi.

Je, nini kilichotokea salander?

Kilichofanyika ni uhalifu (Social crime) hivyo si kila crime ni ugaidi mfano wizi, ubakaji, mauaji ni uhalifu lakini hautaitwa ugaidi until angle nne hizo ziwe zimeguswa vuzuri, mfano nchini marekani tumekuwa tukishuhudia mauaji ya watu kuua kwa kutumia silaha lakini CIA,FBI na serikali hawajawahi kuiambia dunia kuwa ni ugaidi.

Kilichofanyika salender ni uhalifu ambao unabidi kujadiliwa kwa jicho la kiuhalifu siyo kigaidi ili kuepusha TAHARUKI, chuki na uhasama wa kijamii.

Matukio kama lile la jana salender mara nyingi husababishwa na migogoro binafsi waliyo nayo wahusika (personal conflicts), umasiki, psychological problems au pia relationship querrels yaani migigoro ya kimahusiano baina watu wake wa karibu, jamii inayomzunguka.

Katika tukio la jana kulikuwa na mengi ya kujifunza na kuyafahamu lakini Historia ilichelewa kuandika kwa sababu ya uharaka wa mauti kwa kwa mtekelezaji wa tukio kama angalikuwa hai tungepata mengi, lakini pia vifo vya askari navyo vimetunyima mengi ya kujua.

Hivyo tufanye nini?

Tuwatafute watu waliokuwepo/walioshuhudia kwa macho(vusual evidences) tuwahoji wao waliona nini kabla ya risasi hazijaanza kurushwa je mahusiano ya mtekelezaji na police waliokuwepo maeneo yale ni yapi?

Tukibaini hapo tutakuwa tumetegeua kitendawili,.........

Tanzania ipo salama msiwe na shaka...

Huu ni ugaidi sio uhalifu. Ukitoka leo ukaenda kupiga risasi kituo cha Polisi ni ugaidi maana ni kupiga risasi serikali. Haina tofauti na watu kulipua ubalozi. Kama huyu gaidi angekuwa na kisasi na mtu maalamu basi hicho kingekuwa kisasa lakini kwenda na kupiga risasi Polisi bila kuwajua ni ugaidi
 
Sikufurahishwa ya yule police aliyemuua risasi ya kichwa..ilitakiwa leo awe hai tujue in out...hamza nini ulitaka??

Information ni muhimu saana saana, Police wetu waende mafunzo tena.
Sure,wamefanya kusudi kuua ushahidi wa dhulma
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
 
Huu ni ugaidi sio uhalifu. Ukitoka leo ukaenda kupiga risasi kituo cha Polisi ni ugaidi maana ni kupiga risasi serikali. Haina tofauti na watu kulipua ubalozi. Kama huyu gaidi angekuwa na kisasi na mtu maalamu basi hicho kingekuwa kisasa lakini kwenda na kupiga risasi Polisi bila kuwajua ni ugaidi
Ndio tunarudi palepale ugaidi ni nini sasa?
 
Back
Top Bottom