Acha upumbavu mi nakosaje gari mkuuAsiendeshe la nani wakati yeye hana?
NINAYE ndugu yangu Mkoa fulani, ni ph holder, anafundisha chuo. alikuwa mnywaji sana wa pombe, mno. mwaka jana wamemkuta na kisukari, yeye mwenyewe ameamua kuacha pombe kwa nguvu na kuna complications zingine za ini nakadhalika. mkewe ni 36yrs. you can imagine kifuatacho. ushauri ni kwamba, acha pombe, haijawahi kumwacha mtu salama, isipokula pesa itakula afya au uhai wako. mark my words.Wakuu,
Kuna muda nilisitisha pombe ila sijaona faida yoyote. Jana nimekunywa kreti nzima ya bia naona niko vizuri.
Naona mambo ya kuacha pombe nipige chini.Ndo naanza tena upya hapa, kama unataka nicheki nikutumie hela unywe ka kreti na wewe
Safi sana hii, kwani habari za sukari kupanda bei zitakuwa hazikuhusu. Maana utakuwa hunywi chai kwani ukinywa unalewa tenaWakuu,
Kuna muda nilisitisha pombe ila sijaona faida yoyote. Jana nimekunywa kreti nzima ya bia naona niko vizuri.
Naona mambo ya kuacha pombe nipige chini.Ndo naanza tena upya hapa, kama unataka nicheki nikutumie hela unywe ka kreti na wewe
Asiendeshe gari la kijapani, aendeshe ngoma ya KimarekaniAsiendeshe la nani wakati yeye hana?
Bia tamuWakuu,
Kuna muda nilisitisha pombe ila sijaona faida yoyote. Jana nimekunywa kreti nzima ya bia naona niko vizuri.
Naona mambo ya kuacha pombe nipige chini.Ndo naanza tena upya hapa, kama unataka nicheki nikutumie hela unywe ka kreti na wewe
Nimeipenda sana hii mkuu, naomba pa kuanzia maana nisipokumywa kesho yake natetemeka sana na naona maruerue mpaka nipige kidogo ndiyo akili inakaa sawa. Aisee nimefikia hatua mbaya sana poor meUshakuwa mlevi kuacha ni ngumu na ukiacha una kufa ugonjwa wa dalili za alcohol withdraw....so usiache bila kumuona daktari maana wewe ni sokomoko mlevi komba......ukimuona daktar atakupa mbinu na dawa za kuacha bila kuleta madhara kwenye mwili......... ukisema uendelee kunywa sawa tu ila maini moyo figo uwe una pima pima ....kufa wote tunakufa shida kufa kijana au kabla miaka 75.....
Nimeipenda sana hii mkuu, naomba pa kuanzia maana nisipokumywa kesho yake natetemeka sana na naona maruerue mpaka nipike kidogo ndiyo akili inakaa sawa. Aisee nimefikia hatua mbaya sana poor t
The most dangerous addiction ni alcohol maana inatabia ya kuua endapo unaacha ndo hatari yake iko hapa tofauti na addiction nyingine......sasa ukifika hospital watakuambia uache ila watakufa dawa mfano diazepam yategemea hali yakoNimeipenda sana hii mkuu, naomba pa kuanzia maana nisipokumywa kesho yake natetemeka sana na naona maruerue mpaka nipike kidogo ndiyo akili inakaa sawa. Aisee nimefikia hatua mbaya sana poor me
Mkuu hili la hallucinations lilianza kunitokea mpaka nikikaa sehemu nasikia mziki peke yangu ila watu wengine wanasema mbona hakuna mziki wowote. Hii ilitokea baada ya kuamua kuacha pombe ghafla. Ilifikia kipindi naona kuna mtu mbele yangu then anapotea, nikadhani ni mambo ya kishirikina so nikaenda kupiga maji tena na akili ikakaa sawa. Nimepita mtandaoni nikakuta watu wanasema dawa kama Desistal inasaidia lakini sijui wapi naweza kuipata kwani sina abc zozote kuhusu hii dawa. Sasa hivi hata walking balance ni kama nimelewa muda wote, nikahisi labda ni kwasababu ya kula kidogo so nikaanza kula chakula cha kutosha lakini wapi, nikiacha kupiga asubuhi basi sitoboi siku bila kupata lile tetemeko. Msaada please bila kumwona Daktari maana huku nilipo kwa sasa siyo rahisi kulingana na mazingira. Thanks in advance . Waweza nijibu pm au hapa hapa kwa faida ya woteThe most dangerous addiction ni alcohol maana inatabia ya kuua endapo unaacha ndo hatari yake iko hapa tofauti na addiction nyingine......sasa ukifika hospital watakuambia uache ila watakufa dawa mfano diazepam yategemea hali yako
Hizo dawa zitatumika kutuliza madhara ya kuacha pombe au adhabu ya kuacha pombe kama hallucinations na kutetemeka sasa hapa hizo dawa zitakuwa zinakutuliza kwa kipindi cha miezi mitatu
Ukisema uache tu kienyeji tunazika....na hapa huwa wengi hawajui hii siri
Kama ni mlevi kabisa kabisa lazima uache na dawa za msaaada la hivyo ukikaa utaanza kumuona mkeo jini mara unatetemela mara homa mara unaongea pekee ako mara unacheka bila kuchekeshwa inshort unaweza kuwa hata chizi ...so walevi professional acheni pombe ila muone mtaalam wa afya kabla hujaachaa
Kwa nn mkuuKuacha pombe Ni maamuz ya kipumbavu
Sasa maini...figo cjui moyo naenda kumringishia nani kaburini?Ushakuwa mlevi kuacha ni ngumu na ukiacha una kufa ugonjwa wa dalili za alcohol withdraw....so usiache bila kumuona daktari maana wewe ni sokomoko mlevi komba......ukimuona daktar atakupa mbinu na dawa za kuacha bila kuleta madhara kwenye mwili......... ukisema uendelee kunywa sawa tu ila maini moyo figo uwe una pima pima ....kufa wote tunakufa shida kufa kijana au kabla miaka 75.....
Unaachaje pombe wewe?? Pombe ina faida kubwa sana, walevi tunapeana sana michongo mingi bar, pia unakutana na marafiki wengi na kupeana idea kubwa bila uchoyo wala unafiki.Wakuu,
Kuna muda nilisitisha pombe ila sijaona faida yoyote. Jana nimekunywa kreti nzima ya bia naona niko vizuri.
Naona mambo ya kuacha pombe nipige chini.Ndo naanza tena upya hapa, kama unataka nicheki nikutumie hela unywe ka kreti na wewe
Sasa kama haitakiwi unywe uendeshe gari zile parking kwenye bar huwa za nini si majaribu hayoPombe ni kinywaji kizuri lakini ushauri wangu Usinywe na kuendesha Gari.
Zile Parking unaziachia Bolt na UBER.Sasa kama haitakiwi unywe uendeshe gari zile parking kwenye bar huwa za nini si majaribu hayo