Sijaona faida yoyote kuacha pombe, nataka niendelee kunywa

Sijaona faida yoyote kuacha pombe, nataka niendelee kunywa

Nkipishana na walevi Huwa nasikia harufu ya nyama choma. Kumbe wanaungua ndani kwa ndani bila wao kujua.
 
kuna daktari pia aliwahi kunishauri vivyo hivyo ati ninywe mbuli tu kwa wiki japo sinywagi,

ila akanambia kama dry drinks kama konyagi au kvant, naweza bugia niwezavyo hata kila

Ukishaua In na figo hakikisha una bajeti ya kutosha ya dialysis ni laki sita kwa wiki.
Hakuna nchi yenye ulevi pombe kali duniani kama Urusi tupe data za wanaogua magonjwa ya Ini na figo
Wamasai wakurya wanatumia sana pombe kali wanaita Mbinyo Arusha hakuna historia ya ugonjwa wa Ini na figo.
Tatizo nyie uswahilini chakula chenyewe shida unakunywa pombe kali ya nini.
Arusha ni walaji wazuri wa nyama choma,wakurya kichuri,Urusi walaji wazuri wa nyama ya bata mzinga
Wewe sasa asubuhi chai na andazi mbili unategemea nini?
USHAURI POMBE KALI NI HATARI KWA AFYA YAKO USINYWE KAMA UNA UMASIKINI WA CHAKULA
 
Hakuna nchi yenye ulevi pombe kali duniani kama Urusi tupe data za wanaogua magonjwa ya Ini na figo
Wamasai wakurya wanatumia sana pombe kali wanaita Mbinyo Arusha hakuna historia ya ugonjwa wa Ini na figo.
Tatizo nyie uswahilini chakula chenyewe shida unakunywa pombe kali ya nini.
Arusha ni walaji wazuri wa nyama choma,wakurya kichuri,Urusi walaji wazuri wa nyama ya bata mzinga
Wewe sasa asubuhi chai na andazi mbili unategemea nini?
USHAURI POMBE KALI NI HATARI KWA AFYA YAKO USINYWE KAMA UNA UMASIKINI WA CHAKULA
actually dr alinishauri nitumie hizi dry kali kwasabb ya unene na uzito nilonao 🐒

but Russian wanakunywa pombe kali zenye alcohol zaidi ya 60% kwasabb kuna baridi kali mno wanakunywa hizo ili angalau kupata jotro 🐒

sasa dar jotro nyuzi jotro 41 halafu unafakamia visungura vinna alcohol 42% au 63% na hujala sikujikili taratibu 🐒

At least Arusha kuna hali ya hewa isiyo ya joto but dar 🐒
 
Nipeni faida za mirinda
Inakata pombe ikishirikiana na Fanta fundi wa kukata hangover

Ukipiga Chupa zako ukahisi kulewa kunywa milinda pombe inakata

Unaanza na moja ukihisi kulewa agiza milinda pombe inakata

Asubuhi unaamka mzima kabisa tafuta Fanta orange aongezee Sukari mwilini
 
Back
Top Bottom