NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
prof Janabi alisema unywe bia mbili kwa wikikilevi kikishakolea, huachi, unapunguza au unapumzika tu kidogo π
matumizi ya pombe kupita kiasi ni hatari kwa Afya yako π
kunywa kistaarabu π
haiuzwi kwa under18π
kuna daktari pia aliwahi kunishauri vivyo hivyo ati ninywe mbuli tu kwa wiki japo sinywagi,prof Janabi alisema unywe bia mbili kwa wiki
kuna daktari pia aliwahi kunishauri vivyo hivyo ati ninywe mbuli tu kwa wiki japo sinywagi,
ila akanambia kama dry drinks kama konyagi au kvant, naweza bugia niwezavyo hata kila
Hakuna nchi yenye ulevi pombe kali duniani kama Urusi tupe data za wanaogua magonjwa ya Ini na figoUkishaua In na figo hakikisha una bajeti ya kutosha ya dialysis ni laki sita kwa wiki.
actually dr alinishauri nitumie hizi dry kali kwasabb ya unene na uzito nilonao πHakuna nchi yenye ulevi pombe kali duniani kama Urusi tupe data za wanaogua magonjwa ya Ini na figo
Wamasai wakurya wanatumia sana pombe kali wanaita Mbinyo Arusha hakuna historia ya ugonjwa wa Ini na figo.
Tatizo nyie uswahilini chakula chenyewe shida unakunywa pombe kali ya nini.
Arusha ni walaji wazuri wa nyama choma,wakurya kichuri,Urusi walaji wazuri wa nyama ya bata mzinga
Wewe sasa asubuhi chai na andazi mbili unategemea nini?
USHAURI POMBE KALI NI HATARI KWA AFYA YAKO USINYWE KAMA UNA UMASIKINI WA CHAKULA
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa yoyote yale unayopitia au utakayopitia maishani KAMWE USIIACHE POMBE
Copy that ONE MAN DOWNWakuu,
Kuna muda nilisitisha pombe ila sijaona faida yoyote. Jana nimekunywa kreti nzima ya bia naona niko vizuri.
Naona mambo ya kuacha pombe nipige chini.Ndo naanza tena upya hapa, kama unataka nicheki nikutumie hela unywe ka kreti na wewe
Nipeni faida za mirindaNipeni faida za pombe
Sukari tamu π€£π€£Nipeni faida za mirinda
Borabola
Inakata pombe ikishirikiana na Fanta fundi wa kukata hangoverNipeni faida za mirinda
Kama uko na huo mkwanja so bora ufe tu uwaachie urithi watotoUkishaua In na figo hakikisha una bajeti ya kutosha ya dialysis ni laki sita kwa wiki.