Mkuu mkude anacheza pamoja na fraga, na siku ya derby ni kweli alisababisha faul iliyozaa goli ila Haina maana kwamba alikuwa anacheza kiungo mkabaji, siku ile kiungo mkabaji alikuwa ni mzamiru, sikatai mkude sio mzuri kwenye kukaba ila sishangai kwakuwa sio kazi yake namba 1 ispokuwa ni ziada tu, mkude acheze mbele ya mtu kama fraga au kotei ndo utamuonea raha
Ila akicheza na mzamiru mambo yanakuwa tafrani maana mzamiru anakaba sana ila anapoteza sana mipira hivo kupelekea mkude kuvaa jukumu la kuanza kukaba ilhali hayupo vizuri kwenye discipline ya ukabaji ndo hapo anakuwa kwenye hatari ya kupata njano mara kwa mara, ila kama kuna 6 mzuri kazi yake ni kusambaza mipira kwa mawing back wanapo overlap pamoja na viungo maana ni mzuri sana kwa kupeleka timu mbele kwakuwa anapiga long range za accuracy sana