Sijaona Mchango wa Balozi Hamphrey Polepole kwa Taifa kama alivyotuaminisha hapo Mwanzo

Sijaona Mchango wa Balozi Hamphrey Polepole kwa Taifa kama alivyotuaminisha hapo Mwanzo

Kwa nini aliacha kufundisha shule ya uongozi??
 
watu wa pwani.wazee.wa.misuli.na.harusi wamemficha wanajua.moto wake . Yawezekana.wanajua anapenda warembo basi wamempeleka cubano akajizeeshe.zaidi.

#Kataawahuni sijui ilikiwaje bosi.wake.alipokuwa.Januzaj walipeana briefings vizuri kweli
 
Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.

Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.

Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.

Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.

Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Sasa Malawi Kuna nn . Labda biashara ya samaki wakavu kama ilivyo Kwa Burundi na Rwanda . Yeye anakula zake maisha muda usogee tu maana alipelekwa uko baada ya kuanza kutoka lecture za shule ya uongozi kelele zikaisha
 
Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.

Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.

Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.

Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.

Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Kwani umewahi kuona mchango wa Balozi yupi!? Yaani Balozi afungue fursa za ajira? Kweli!!???
 
Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.

Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.

Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.

Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.

Nini kimempata huyu Mpambanaji?

Sio kila nafasi ya Uongozi ya mtu flan basi kila mtu ataona manufaa yake,

Nafasi zingine ni Aina flan ya watu Tu ndio wanaweza kuona mtu flan analeta tija kwenye nafasi yake

Mfano katibu mkuu kiongozi kuna chochote ambacho wewe unaweza kusema anakifanya?

So nafasi zingine za uteuzi zinasaidia Uongozi kufanya mambo flan ambayo yanakupa faida wewe Moja Kwa moja
 
Sio kila nafasi ya Uongozi ya mtu flan basi kila mtu ataona manufaa yake,

Nafasi zingine ni Aina flan ya watu Tu ndio wanaweza kuona mtu flan analeta tija kwenye nafasi yake

Mfano katibu mkuu kiongozi kuna chochote ambacho wewe unaweza kusema anakifanya?

So nafasi zingine za uteuzi zinasaidia Uongozi kufanya mambo flan ambayo yanakupa faida wewe Moja Kwa moja
Mkuu ni yeye alikuwa anatuahidi....pia nafasi ya umma kwanini umma usione unachofanya?
 
Sio kila nafasi ya Uongozi ya mtu flan basi kila mtu ataona manufaa yake,

Nafasi zingine ni Aina flan ya watu Tu ndio wanaweza kuona mtu flan analeta tija kwenye nafasi yake

Mfano katibu mkuu kiongozi kuna chochote ambacho wewe unaweza kusema anakifanya?

So nafasi zingine za uteuzi zinasaidia Uongozi kufanya mambo flan ambayo yanakupa faida wewe Moja Kwa moja
h humphrey?
P polepole?
 
Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.

Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.

Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.

Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.

Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Kwani aliahidi nini ambacho hajatekeleza?
 
Back
Top Bottom