Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Malawi Kuna nn . Labda biashara ya samaki wakavu kama ilivyo Kwa Burundi na Rwanda . Yeye anakula zake maisha muda usogee tu maana alipelekwa uko baada ya kuanza kutoka lecture za shule ya uongozi kelele zikaishaHabari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.
Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.
Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.
Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.
Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Kwani umewahi kuona mchango wa Balozi yupi!? Yaani Balozi afungue fursa za ajira? Kweli!!???Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.
Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.
Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.
Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.
Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.
Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.
Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.
Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.
Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Mkuu ni yeye alikuwa anatuahidi....pia nafasi ya umma kwanini umma usione unachofanya?Sio kila nafasi ya Uongozi ya mtu flan basi kila mtu ataona manufaa yake,
Nafasi zingine ni Aina flan ya watu Tu ndio wanaweza kuona mtu flan analeta tija kwenye nafasi yake
Mfano katibu mkuu kiongozi kuna chochote ambacho wewe unaweza kusema anakifanya?
So nafasi zingine za uteuzi zinasaidia Uongozi kufanya mambo flan ambayo yanakupa faida wewe Moja Kwa moja
Balozi polepole hakupaswa kuwa kama hao mabalozi wengine wasio na mchango.Kwani umewahi kuona mchango wa Balozi yupi!? Yaani Balozi afungue fursa za ajira? Kweli!!???
h humphrey?Sio kila nafasi ya Uongozi ya mtu flan basi kila mtu ataona manufaa yake,
Nafasi zingine ni Aina flan ya watu Tu ndio wanaweza kuona mtu flan analeta tija kwenye nafasi yake
Mfano katibu mkuu kiongozi kuna chochote ambacho wewe unaweza kusema anakifanya?
So nafasi zingine za uteuzi zinasaidia Uongozi kufanya mambo flan ambayo yanakupa faida wewe Moja Kwa moja
Sure ni mtu wa hovyo snSasa hivi anapiga rum na totoz za kikubano kama hana akili nzuri huyo ndiye Chakubanga.
Kwani aliahidi nini ambacho hajatekeleza?Habari wakuu. Kwa wale tunaomfahamu MH Balozi Humphrey Polepole tangu miaka ya 2010 tunaweza kukiri kuwa amebadilika sana.
Alikuwa ni Mwanaharakati mpenda maendeleo na haki sawa kwa wote. Mpenda amani na Utawala bora.
Hata hivyo ameendelea kutuonesha dalili za uwezo wake alipochaguliwa kwa mara ya kwanza Kuwa Balozi Nchini Malawi Lilongwe.
Ametusimulia mambo mengi kama azima yake ya kuitendea Taifa na aliendelea kutuoa ahadi kede kede aliphamishiwa Cuba Havana.
Mpaka sasa sijaona hata kimoja alichotelekeza angalau hata kuanzisha miradi ya kufungua ajira kwa vijana wa Tanzania.
Nini kimempata huyu Mpambanaji?
Hahaa....kwanini?Sure ni mtu wa hovyo sn
Hapana...bali aoneshe uwezo na umahiri wake kidplomasiaLengo lako atumbuliwe
Acha tu mkuuHahaa....kwanini?