Sijaona mkare (4 girls)

hahahhah.. Ya the one whos supposed to go back to fb i was farmous here even before you joined this place...i was visiting th place since 2006 as a guest.. Are ready to go back to school? I want to help you my brother and dont undermine any one who want to help you.
 
kwa nini ulidrop chuo kwa kisingizio kuwa ulikuwa unalala darasani?? Au kwako wewe kujua kingereza ndio kipimo cha kuelimika?
 
I feel pity for the young man as some of us have managed to drive him out of the lane. It is all about Egoism and narcissim...

[video=youtube_share;E91loIaiPRw]http://youtu.be/E91loIaiPRw[/video]
 
I feel pity for the young man as some of us have managed to drive him out of the lane. It is all about Egoism and narcissim...[video=youtube_share;E91loIaiPRw]http://youtu.be/E91loIaiPRw[/video]
u reallly dont know wata ya talking. U do know even his history..?go back in this thread read his history and why he drop university and then come here with ya claims.ok?
 
u reallly dont know wata ya talking................ ya claims.ok?

Brother, with all due respect I don't think you can tell me I don't know what I am talking about.. It is all about my feeling; not claims and I don't need anyone to agree or get it through! What I think is right will remain to be right for myself and not for the society.

Quick advice ..Just read it and forget ..Peace ya!
 
what ar u talking about?
 
Mwenzenu yuko serious na kutafuta mchumba nyie mnaleta mabishano yenu. Mshaurini kama njia ni hii na yuko kwenye right track au amepotea na afanye nini maana jamaa kajianika na kila kitu alicho nacho
 
good to be honest bt unfortunatly ur not kind of what am lookin 4 .
dogo sikia watu wanaokusapot trust me hawakutakii mema kabisa,kwa ulivyo jiwakilisha hakuna ata mmoja atakayekuwa tayari kukupa dadake,mdogo wake au mwanae WANAKUCHORA NA KUKU-ENJOY Tu..ningekushauri ujipange upya izo nguvu unazotumia kutafuta mke,zitumie kurudi kuongeza elimu at least ata ka-digrii utajitambua na utakuwa na garantii kdg kwenye laif, nauhakika tamthiliya za kwenye tv ndio zinakudanganya,ayo mapenzi ya kuwa mkweli kiasi icho yamebaki kwenye tv tu..tafuta elimu na pesa kwanza,PESA NA ELIMU ndio vitaleta mke mzuri,familia nzuri,nyumba nzuri,gari nzuri,marafiki wazuri na kila utachopenda,uko mtaani mademu walikuwa wanakuzingua sababu umepigika utawapa nini maisha yenyewe magumu sana mtaani..UKWELI MCHUNGU
 
mapenzi siku izi pesa wewe acha utoto wa kuiga maisha za kwenye movie..mlaze mkeo njaa siku mbili alafu uone kama nikimnunulia kiepe na sayona kama sijabeba
 
maneno ya mkosaji
 
Na kweli unadharau na atakaesema au kudhani hivyo atakua hajakosea.Au kumwambia mtu utaishia kuoa housegal sio dharau hiyo?!
kwani kumdharau mtu ni kosa??dharau ni hisia hauwezi kuzizuia
 
Na yako ni maneno ya m..u...b..v.. Unadhani kila mtu ana njaa na pesa ya mwanaume/mwanamke?!
upo radhi kufa kwa njaa kwa sababu hutaki kuolewa na mtu mwenye mipesa? hahah .... n kiki
 
mapenzi siku izi pesa wewe acha utoto wa kuiga maisha za kwenye movie..mlaze mkeo njaa siku mbili alafu uone kama nikimnunulia kiepe na sayona kama sijabeba
hawa ndio waamegewa wake zao hawa.
 
jamani mi na my best friend,my homeboy, anaenda state mwisho wa mwaka huu au mwanzoni mwa mwaka ujao.

Na mapenzi hayahaya ya kwenye mtandao,sasa wanaobeza mapnz ya kwenye mtandao wanataka kuniambia nini??
 
jamani mi na my best friend,my homeboy, anaenda state mwisho wa mwaka huu au mwanzoni mwa mwaka ujao.Na mapenzi hayahaya ya kwenye mtandao,sasa wanaobeza mapnz ya kwenye mtandao wanataka kuniambia nini??
ajafata mapemzi uyo kashoboka..utampendaje mtu kwenye mtandao tena yuko mtoni..kafata pesa uyo au state..mshaurini dogo ajipange wazuri watamfuata wenyewe hana aja ya kuangaika kwenye mitandao ,kaanzia mbali uyu facebook ukn kote wamemtosa
 
hapo nimekukubali nafurah kuona wapo wadada wanaojitambua kuliko huyu anaendekeza pesa eti financial stability ya mwanaume si atafute zake iweje aweke matumaini kwa mwanaume ambaye hajasaidia hata kutafuta.Stay blecd Lizzy
 
ajafata mapemzi uyo kashoboka..utampendaje mtu kwenye mtandao tena yuko mtoni..kafata pesa uyo au state..mshaurini dogo ajipange wazuri watamfuata wenyewe hana aja ya kuangaika kwenye mitandao ,kaanzia mbali uyu facebook ukn kote wamemtosa
Amekwambia anataka wazuri?hv mke mzuri kwako ww ni yupi?acha kumpotosha mwenzako eti wazuri watamfuata! Ukiona mzuri anakufuata ujue kicheche.Na kwanini ya mwanamke atakae kupenda kwa pesa zako?hv utakua unapendwa wewe au pesa?!It seemz kwa umri wako bado hujajua mapenzi ni nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…