Sijaona mkare (4 girls)

Sijaona mkare (4 girls)

hahahah....dah!!watuu people.safiii umejitoaa muangaa mjombaa
 
View attachment 34461

kwanza kabisa napenda kuwashukuru wote mliosoma na mliochangia article yangu maana ni faraja kubwa sana kwangu. pia naomba radhi kwa wote ambao wamefedheeshwa na yeyote sabau yangu.
Nilipo kuja hapa nilitoa sifa zangu kwa kuwa natafuta mrembo ambaye anaweza kuridhia sifa na vigezo nilivyo navyo ili tuweze kuanzisha kitu kinaitwa safari ya mapenzi. hivyo logicaly nategemea kuwa wadada ambao wako tayari ndio waweze kujielezea wasifu wao ili niweze kujua nita mchagua nani. kila mtu anafahamu kuwa hakuna mtu aliye kamilika kwa kila kitu hivyo ni fear kama mtu anaweza kuni uliza kama kitu flani ninacho ama nakipenda. na kingine kama binti anaona kwamba yuko tayari kuwa na mimi ila labda kwanza anataka nitafute degree ama nijenge kwanza niache kupanga na ndio atanipa mkono wake wa ndoa , basi kama namie nimeridhika naye i will do 4 love.
sasa kuna mdau ambaye nick name yake Saint Ivuga kajieleza vizuri sana juu ya wasifu wake kuwa yeye yuko nje, anapenda mazoezi anashinda jimu , kanipigia picha ya car parking yake kama uionavyo hapo juu. hakuuishia hapo akasema pia anaweza akaniendeleza kimasomo nikapata degree (sijui nani alimwambia kuwa cna uwezo wakujiendeleza)
kisha nikaanza kuwa na pesa nyingi acording to that person. uc this person is amaizing and he can change the world. but mwisho wasiku this person anakuwa ameingia kwenye choo cha kike maana watu ambao wanatakiwa wajieleze na kutuma picha zao ama za vitu vyao hapa ni mambinti tuu (strictly) maana cjui yeye ila mimi binafsi ni rijali na sijihusishi na mahusiano ya wanume kwa wanaume sabau am strait. but if this guy is also strait kuna m2u anajiita jestina amependa swaga zake hivyo sio vibaya nawatakia kila la kheri.
wewe dogo ni ****.. mimi nishakuambia kuwa nimejitoa kwenye thread yako sasa kwa nini una i edit tena na kuanza kunitukana?wtf? tumia ustaarabu basi kama mimi nilivyotumia ustaarabu kuachana na wewe baada ya kuona kuwa sio vizuri nilivyofanya japo nia yangu ilikuwa ni nzuri. ok?kwanza wewe umesababisha nimempoteza rafiki yangu kipenzi afrodenz kwenye hii thread yako. so stop editing posts ambazo ulikuwa unanijibu. ok? usitegemee kwenda kila mahali na kupigiwa makofi
 
wewe dogo ni ****.. mimi nishakuambia kuwa nimejitoa kwenye thread yako sasa kwa nini una i edit tena na kuanza kunitukana?wtf? tumia ustaarabu basi kama mimi nilivyotumia ustaarabu kuachana na wewe baada ya kuona kuwa sio vizuri nilivyofanya japo nia yangu ilikuwa ni nzuri. ok?kwanza wewe umesababisha nimempoteza rafiki yangu kipenzi afrodenz kwenye hii thread yako. so stop editing posts ambazo ulikuwa unanijibu. ok? usitegemee kwenda kila mahali na kupigiwa makofi
Ninashangaa sijui ni kwanini naanza kuingiwa na moyo wa kukuhurumia. vumilia maana hiyo ndo hali halisi ya maisha kwamba unavuna unacho panda. tokea mwanzo hukuwa mtu stahiki kutuma vigezo vyakokatika post hii. Hata maandiko matakatifu yanasema "kisicho stahiki huenda kwa asiye stahiki". kupoteza mtu kipezi na mwenye uelewa mkubwa kama Afrodenz ni pigo la mwaka ila jikaze tu baba isha tokea hakuna njia bt kwa mi binafsi na kupongeza sana kwa hilo maana siku chache zilizo pita ulisema kuwa unawafumbua macho wadada wa JF. sasa huyo kipenzi wako hivi sasa nayeye ameona ( nahisi ali pop shampain huko aliko) nakuomba uendelee na moyo huohuo wakuwafumbua macho hawa wadada na usiishie wa JF pekee bali hata na wa huko matoni uliko na wahapa bongo ukirudi.

na sio vibaya watu wakafahamu nasikiliza nyimbo gani kwa sasa ‪Rihanna - Man Down‬‏ - YouTube

Cause I didn't mean to hurt him
Could've been somebody's son
And I took his heart when
I pulled out that gun

Rum pum pum rum pum pum pum rum pum pum pum
Man Down
Rum bum bum bum rum bum bum bum rum bum bum bum
Man Down

Oh mama mama mama
I just shot a man down
In central station
In front of a big ol crowd
Oh Why Oh Why
Oh mama mama mama
I just shot a man down
In central station
 
i have money..cars ,house..dont mess up wid me!!
I have courange and personality , I do not afraid to loose or to look like a fool to any one. I even lough at defeat . so any time u are free to mess up with me. because when the sun come 2 mmorw it will be a new day.
 
I have courange and personality , I do not afraid to loose or to look like a fool to any one. I even lough at defeat . so any time u are free to mess up with me. because when the sun come 2 mmorw it will be a new day.
where will you go with ya courage? ya just trying to compare bao bao tree and mchicha..who are you.. ya nothing.. and you will never get any girl here in JF kizuri chajiuza kibaya chajitembeza..nimeamua nikuachie thread yako lakini unajiona kuwa umeshinda sio ? nope.. wewe ni kama sisimizi kwangu....ok.. im buzzy with fiesta
via ipad2
 
wewe dogo ni ****.. mimi nishakuambia kuwa nimejitoa kwenye thread yako sasa kwa nini una i edit tena na kuanza kunitukana?wtf? tumia ustaarabu basi kama mimi nilivyotumia ustaarabu kuachana na wewe baada ya kuona kuwa sio vizuri nilivyofanya japo nia yangu ilikuwa ni nzuri. ok?kwanza wewe umesababisha nimempoteza rafiki yangu kipenzi afrodenz kwenye hii thread yako. so stop editing posts ambazo ulikuwa unanijibu. ok? usitegemee kwenda kila mahali na kupigiwa makofi

Hahaha,i love Afrodenz so badly jamani doh
 
wewe dogo ni ****.. mimi nishakuambia kuwa nimejitoa kwenye thread yako sasa kwa nini una i edit tena na kuanza kunitukana?wtf? tumia ustaarabu basi kama mimi nilivyotumia ustaarabu kuachana na wewe baada ya kuona kuwa sio vizuri nilivyofanya japo nia yangu ilikuwa ni nzuri. ok?kwanza wewe umesababisha nimempoteza rafiki yangu kipenzi afrodenz kwenye hii thread yako. so stop editing posts ambazo ulikuwa unanijibu. ok? usitegemee kwenda kila mahali na kupigiwa makofi

saint Ivu, please potezea man take it simple ni kawaida kwa binadamu kupirhana kimsimamo bt lengo la Jf ni kuelimashana na sio kujenga chuki.
 
you will end marrying ya house gal. im telling you boy


Kwani housegirl yeye sio mwanamke? Acha ushamba wewe, nimekuvumilia nimechoka. U don't seem to be gentle na nahis una inferiority fulani na hauna courage kama wanaume wenzio. Acha kuandika upuuzi humu, ushauri hautolewi kwa jinsi hii.
 
Duh! nimeshasahau tulikotoka ana tunakoelekea! i am trying to refresh zikikamata nitachangia!
 
Back
Top Bottom