Sijaona mshindani wa Mnyalu Canvas mpaka sasa. Siri ya mafanikio yake ni nini hasa?

Sijaona mshindani wa Mnyalu Canvas mpaka sasa. Siri ya mafanikio yake ni nini hasa?

Kwasababu ameanza muda mrefu kwenye game as kibarua nk...anaijua biashara nje ndani ndo imempa fursa ya kuweza kuwaweka pembeni aliowakuta kwenye game, sasa hapo apambane abaki maana washindani wake nao wanapambana kurudi kwenye game sitaki kuamini kama wamemwachia soko peke yake
 
Kwasababu ameanza muda mrefu kwenye game as kibarua nk...anaijua biashara nje ndani ndo imempa fursa ya kuweza kuwaweka pembeni aliowakuta kwenye game, sasa hapo apambane abaki maana washindani wake nao wanapambana kurudi kwenye game sitaki kuamini kama wamemwachia soko peke yake
Alinde brand sio? Unafikiri nini afanye?
 
Back
Top Bottom