musa shaban
Member
- Feb 6, 2014
- 34
- 2
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho Maya
amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona
mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto
kwani wote anawaona ni tapeli wa mapenzi.
Akizungumza nasi hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu
anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu
anayeweza kupata naye mtoto ndipo ugumu unapokuja.
Sizitaki mbichi hizi!
Hahahahahhahah!!!!!! umenichekesha sana.
sipati picha bwana wake wa sasa hivi anjisikiaje
duh basi itakuwa ama ana kasoro au ana matatizo co mtoto wa kike kutokuwa na bf ni kazi sana hata wa kuzugia.Unadhani anatania ....hana huyo...anajaribu kuita kijanja ....ila washamstukia...kuwa siyo 'waifu matirio'...analo huyo
Huyu ni diwani wa kata gani hapa tz?
huyu ndo chifu mangungo wa msowero
mguu umekomaa balaa.duu
Msanii mahiri wa filamu za hapa Bongo, Mayasa Mrisho Maya
amefunguka kuwa katika pitapita zake zote bado hajaona
mwanaume ambaye anaweza kuwa naye na kumzalia mtoto
kwani wote anawaona ni tapeli wa mapenzi.
Akizungumza nasi hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu
anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu
anayeweza kupata naye mtoto ndipo ugumu unapokuja.