Sijaona mwanaume mwenye vigezo vya kunizalisha, Walio wengi ni matapeli


Ni hadithi tu hajataka. Mbona jama wako tu wenye heshima zawo. Si ajabu pengine yeye anawahusudu tu matapeli
 
Ndo tatizo la kutembea na mume wa mtu, ukimbebea mimba tu kakimbia. Tafuta wako dada.
 
Sijaelewa wakuu hao matapeli watampa mimba hewa ama?
 
Fungua Duka Dada. Siku hazigandi na jua linakuchwa!
 
Njoo nikupige mbupu we mtoto japokuwa shepu yako haijafinyangwa kwa stail zangu

Ukamuliwe uache zarau
 
Huyo analo...tena yawezekana watu wameona yeye ndiye Tapeli....!
 
Unadhani anatania ....hana huyo...anajaribu kuita kijanja ....ila washamstukia...kuwa siyo 'waifu matirio'...analo huyo
duh basi itakuwa ama ana kasoro au ana matatizo co mtoto wa kike kutokuwa na bf ni kazi sana hata wa kuzugia.
 
Kwanza niliwahi kumuona Sikonge kwenye basi la Sabena uuuuh...
 

MMmmh basi Akazae na mwanamke mwenzie ama mnyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…