Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #41
Sikutaka asome ripoti nzima, nilitaka aweke dondoo zaidi sio kutoa taarifa kwa dakika kumi tu kwenye tukio kubwa kama hiliKasome ripoti ya sensa sio kuongea tu, ulitaka asome ripoti nzima. Lazima sensa ioneshe hayo unayosema. Soma ripoti nzima halafu ulete hoja zako najua hujaisoma. Watanzania ndo tulivyo hata huna uhakika unapiga. Lazima utofauti wa umri unaleta majibu ya watoto, vijana, watu wazima, nguvu kazi, utengemezi na uzalianaji na mengine.
Aliyekwambia hii nchi inaegemea Dini ni Nani wee jamaa nonsense ,mpuuzHadi leo sijaona kwa nini serikali haitaki kabisa kutoa takwimu za idadi ya watu katika dini mbali mbali, yaani tujue Tanzania kuna Waislamu wangapi, kuna Wakristo wangapi, kuna wapagani wangapi. Na katika Waislamu kuna Suni wangapi, Shia wangapi. Na katika Wakristo, kuna Wakatoliki wangapi, Walutheri nk.
Na pia ningependa kujua kuna Wasukuma wangapi, Waha wangapi nk. Ubaya wake nini kujua hii idadi? Kusema itaeta udini au ukabila ni sababu yebo yebo.
Wanawake wanajua wako wengi kuliko wanaume, mbona hatuoni wakidai mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya wengi wawe wanawake kuliko wanaume?
Kazi ya kuhesabu waumini si ya Serikali. Kwanza kumbuka Serikali haina Dini. Kama unataka kufanya Sensa ya kidini waambie viongozi wako wa dini waandae budget na utaratibu wa kuwahesabu.Hadi leo sijaona kwa nini serikali haitaki kabisa kutoa takwimu za idadi ya watu katika dini mbali mbali, yaani tujue Tanzania kuna Waislamu wangapi, kuna Wakristo wangapi, kuna wapagani wangapi. Na katika Waislamu kuna Suni wangapi, Shia wangapi. Na katika Wakristo, kuna Wakatoliki wangapi, Walutheri nk.
Na pia ningependa kujua kuna Wasukuma wangapi, Waha wangapi nk. Ubaya wake nini kujua hii idadi? Kusema itaeta udini au ukabila ni sababu yebo yebo.
Wanawake wanajua wako wengi kuliko wanaume, mbona hatuoni wakidai mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya wengi wawe wanawake kuliko wanaume?
SawaSerikali haina dini
Point nzuri sana. Kutoa matokeo ya sensa na kusema tuko milioni 61, wanaume milioni 30, wanawake milioni 31, mie nimeona ni ujinga na kukosa busara.
Nilitegemea Samia angeenda mbali na kusema, katika milioni 61, idadi ya vijana kati ya miaka 20-30 ni hii. Na hivyo serikali itajipanga kuweka mikakati ya ajira kwa sababu hapa ndipo watu wasio na ajira wamejaa.
Na angesema wazee kuanzia miaka 60 hadi 80 ni hii. Kwa hiyo bima ya taifa ya afya itakuwa hvi na vile na hivi. Yaani anakuja kusema tuko milioni 61, wanaume 30 wanawake 31 halafu anaondoka? Angemtuma hata housegirl wangu angefanya hiyo kazi vizuri tu
Wenye dini zao ndo wafanye sensa ya waumini wao, serikali haina Dini wala ukabila,haaaaa? Basi ongezea na hizi
Walioolewa - idadi ipo
Walioachika - ipo kaa wana file divorce
Mabikra - mjinga tu ndio atapendekeza hili
Mafisadi - idadi ipo kwa waliohukumiwa
Marehemu - idadi ipo mjajiri wa vifo
Wanaojiuza - mjinga tu ndio atapendekeza hili
Kwa ujumla, nimeona post yako ina ujinga wa kiwango cha juu. Na hasa ukizingatia kuna nchi nyingi tu, kama sio zote isipokuwa Tanzania, zinatoa takwimu za mambo niliyotaja
Ili iweje?Wanaogopa kusema Islam ni wa pili kwa wingi
Kwahiyo nyerere mjinga? Maana ndio alitoa kuhesabu kabila na dini za watu kwenye sensaKiongozi mjinga tu ndio atatumia hicho kama kisingizio. Hatuendeshwi na mambo yaliyofanywa au kutofanywa na wakoloni
Hayo maswali yote yaliulizwa kwenyr sensaHata wanawake na wanaume wangeainisha na umri. Maana ninaamini wanawake wanaosemwa wengi ni wale ambao siyo umri wa kuolewa au kuzaa(vizaa vya over 45yrs) na visichana under 18.
Hata wanaume pia wangeainisha umri in groups
Na faida yake Ni Nini?Hadi leo sijaona kwa nini serikali haitaki kabisa kutoa takwimu za idadi ya watu katika dini mbali mbali, yaani tujue Tanzania kuna Waislamu wangapi, kuna Wakristo wangapi, kuna wapagani wangapi. Na katika Waislamu kuna Suni wangapi, Shia wangapi. Na katika Wakristo, kuna Wakatoliki wangapi, Walutheri nk.
Na pia ningependa kujua kuna Wasukuma wangapi, Waha wangapi nk. Ubaya wake nini kujua hii idadi? Kusema itaeta udini au ukabila ni sababu yebo yebo.
Wanawake wanajua wako wengi kuliko wanaume, mbona hatuoni wakidai mawaziri na wakuu wa mikoa na wilaya wengi wawe wanawake kuliko wanaume?
Wanaogopa kusema Christian ni 76% ya idadi ya waTanzania wote.Wanaogopa kusema Islam ni wa pili kwa wingi
Sasa kama hujui Waislamu ndio tulikuwa tunataka hiyo idadi, serikali ndio ikagoma
Masai kabila kubwa kijina na umaarufu sio kinambaMakabila yote makubwa ni Christian majority.
1. Sukuma
2. Haya
3. Chagga
4. Nyakyusa
5. Maasai