Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Simba ya sasa ni Bora, na tuseme kuwa Yanga ikajipange.

magoli kama yale ni kweli Manula anaugonjwa nayo , hata Morrison alimfunga sana Manula kwa staili ile , lakini haindoi uhalisia kuwa bado ni golikipa bora.

Mgunda amefanya a major reform ya Klabu yetu pendwa na kurudisha tumaini ambalo liliondolewa na makocha wakigeni wasioelewa Chemistry ya soka letu.

Chance ya Juma kushinda hii game ilikuwa ni zaidi ya 60%, changamoto ya Dabi inaenda na presha hivyo utulivu unakuwa hafifu, Hongereni simba kwa soka bora , sio lazima kila mechi ushinde, kupiga kandanda ya kujiamini inatia moyo.

Ninaamini Mgunda anacheza NUSU FAINALI , CAF ,Mark my words .


Katika kufanya MOTISHA ya makocha wa kizawa,SSC waache MBAMBAMBAMBA na wamtangaze Juma kama Head Coach haraka sana.

Mshahara wa Head Coach SSC si chini ya Mil 25 pamoja na benefits zote as Head Coach ikiwa ni pamoja na kumpatia makazi tena MASAKI au Osterbay na usafiri binafsi kama jinsi ambavyo makocha wa kigeni hupewa hizo care.

Hii pia itatengeneza career path nzuri na motisha kwa makocha wengine wa ndani.

SSC na Yanga, kabla hamjaanza kuhangaika na makocha wa nje angalieni kwanza ndani , achaneni na mambo ya uzoefu, toeni uzoefu kwa kuwajenga makocha wa ndani ambao kwa asilimia kubwa watakuwa na uelewa mkubwa wa soka la Africa Na kujua hitaji la mashabiki.

Yanga hii game ilikuwa tuwapige nyingi , ni presha tu ya Dabi, but hii game leo ilikuwa tuwapige hata tatu.

Mjipime upya, maana kunauwezekano mkubwa hata makundi ya shirikisho msicheze, siamini na sitokuja kuamini kama mtaweza kuwatoa Africa Club. Maana ile timu inapambana na timu kama Widady na Raja.

Huyu Nabi sasa anaenda kuwa tested kwa mara ya pili, na safari yake ya makundi itaishia tunisia, ndio mtajua kuwa kumbe shirikisho sio ya maloser, na kuna haja ya kupromote talents za ndani.

Na nyie makocha wa ndani anzeni kujiamini na kujiongeza kielimu.
Wewe bwege unakazia kuwa yanga sijui hatafika wapi,kwani simba kwa mpira ule ataenda wapi?,mlitamba sana kuwa mtaifunga yanga haya yapo wapi sasa,mikia fc
 
Simba ya sasa ni Bora, na tuseme kuwa Yanga ikajipange.

magoli kama yale ni kweli Manula anaugonjwa nayo , hata Morrison alimfunga sana Manula kwa staili ile , lakini haindoi uhalisia kuwa bado ni golikipa bora.

Mgunda amefanya a major reform ya Klabu yetu pendwa na kurudisha tumaini ambalo liliondolewa na makocha wakigeni wasioelewa Chemistry ya soka letu.

Chance ya Juma kushinda hii game ilikuwa ni zaidi ya 60%, changamoto ya Dabi inaenda na presha hivyo utulivu unakuwa hafifu, Hongereni simba kwa soka bora , sio lazima kila mechi ushinde, kupiga kandanda ya kujiamini inatia moyo.

Ninaamini Mgunda anacheza NUSU FAINALI , CAF ,Mark my words .


Katika kufanya MOTISHA ya makocha wa kizawa,SSC waache MBAMBAMBAMBA na wamtangaze Juma kama Head Coach haraka sana.

Mshahara wa Head Coach SSC si chini ya Mil 25 pamoja na benefits zote as Head Coach ikiwa ni pamoja na kumpatia makazi tena MASAKI au Osterbay na usafiri binafsi kama jinsi ambavyo makocha wa kigeni hupewa hizo care.

Hii pia itatengeneza career path nzuri na motisha kwa makocha wengine wa ndani.

SSC na Yanga, kabla hamjaanza kuhangaika na makocha wa nje angalieni kwanza ndani , achaneni na mambo ya uzoefu, toeni uzoefu kwa kuwajenga makocha wa ndani ambao kwa asilimia kubwa watakuwa na uelewa mkubwa wa soka la Africa Na kujua hitaji la mashabiki.

Yanga hii game ilikuwa tuwapige nyingi , ni presha tu ya Dabi, but hii game leo ilikuwa tuwapige hata tatu.

Mjipime upya, maana kunauwezekano mkubwa hata makundi ya shirikisho msicheze, siamini na sitokuja kuamini kama mtaweza kuwatoa Africa Club. Maana ile timu inapambana na timu kama Widady na Raja.

Huyu Nabi sasa anaenda kuwa tested kwa mara ya pili, na safari yake ya makundi itaishia tunisia, ndio mtajua kuwa kumbe shirikisho sio ya maloser, na kuna haja ya kupromote talents za ndani.

Na nyie makocha wa ndani anzeni kujiamini na kujiongeza kielimu.
golikipa gani ambae hafungwi magoli kama yale?? acha kukariri kwenye faulo mpigaji akipiga upande ambao ndio wamesimama wachezaji watatu wa kuzuia ukipita pale ni ngumu kipa kuokoa iyo faulo ndio maana wachezaji wa kuzuia faulo wanatakiwa waruke mpira usipite sababu kipa anakuwa hayupo upande ule.
 
Simba ya sasa ni Bora, na tuseme kuwa Yanga ikajipange.

magoli kama yale ni kweli Manula anaugonjwa nayo , hata Morrison alimfunga sana Manula kwa staili ile , lakini haindoi uhalisia kuwa bado ni golikipa bora.

Mgunda amefanya a major reform ya Klabu yetu pendwa na kurudisha tumaini ambalo liliondolewa na makocha wakigeni wasioelewa Chemistry ya soka letu.

Chance ya Juma kushinda hii game ilikuwa ni zaidi ya 60%, changamoto ya Dabi inaenda na presha hivyo utulivu unakuwa hafifu, Hongereni simba kwa soka bora , sio lazima kila mechi ushinde, kupiga kandanda ya kujiamini inatia moyo.

Ninaamini Mgunda anacheza NUSU FAINALI , CAF ,Mark my words .


Katika kufanya MOTISHA ya makocha wa kizawa,SSC waache MBAMBAMBAMBA na wamtangaze Juma kama Head Coach haraka sana.

Mshahara wa Head Coach SSC si chini ya Mil 25 pamoja na benefits zote as Head Coach ikiwa ni pamoja na kumpatia makazi tena MASAKI au Osterbay na usafiri binafsi kama jinsi ambavyo makocha wa kigeni hupewa hizo care.

Hii pia itatengeneza career path nzuri na motisha kwa makocha wengine wa ndani.

SSC na Yanga, kabla hamjaanza kuhangaika na makocha wa nje angalieni kwanza ndani , achaneni na mambo ya uzoefu, toeni uzoefu kwa kuwajenga makocha wa ndani ambao kwa asilimia kubwa watakuwa na uelewa mkubwa wa soka la Africa Na kujua hitaji la mashabiki.

Yanga hii game ilikuwa tuwapige nyingi , ni presha tu ya Dabi, but hii game leo ilikuwa tuwapige hata tatu.

Mjipime upya, maana kunauwezekano mkubwa hata makundi ya shirikisho msicheze, siamini na sitokuja kuamini kama mtaweza kuwatoa Africa Club. Maana ile timu inapambana na timu kama Widady na Raja.

Huyu Nabi sasa anaenda kuwa tested kwa mara ya pili, na safari yake ya makundi itaishia tunisia, ndio mtajua kuwa kumbe shirikisho sio ya maloser, na kuna haja ya kupromote talents za ndani.

Na nyie makocha wa ndani anzeni kujiamini na kujiongeza kielimu.
Maneno meengii kumbe uharo tu, mara ya mwisho kumfunga yanga unaikumbuka au unajichetua akili? Na uyo mgunda wako kakutana na yanga mara ngapi na kapata ushindi mara ngapi mbele ya yanga? Kwamba mngeifunga yanga goli 3 leo kwa ubora upi ulionao ambao ungekufanya umfunge yanga hizo goli 3? Na mgunda uyu ndo unategemea akufikishe nusu fainali ya klabu bingwa!!! Na kikosi chenu icho icho, naona umbumbumbu ni mzigo mzito sana unawasumbua
 
Maneno meengii kumbe uharo tu, mara ya mwisho kumfunga yanga unaikumbuka au unajichetua akili? Na uyo mgunda wako kakutana na yanga mara ngapi na kapata ushindi mara ngapi mbele ya yanga? Kwamba mngeifunga yanga goli 3 leo kwa ubora upi ulionao ambao ungekufanya umfunge yanga hizo goli 3? Na mgunda uyu ndo unategemea akufikishe nusu fainali ya klabu bingwa!!! Na kikosi chenu icho icho, naona umbumbumbu ni mzigo mzito sana unawasumbua

Utajua hujui soonest , wait and see
 
golikipa gani ambae hafungwi magoli kama yale?? acha kukariri kwenye faulo mpigaji akipiga upande ambao ndio wamesimama wachezaji watatu wa kuzuia ukipita pale ni ngumu kipa kuokoa iyo faulo ndio maana wachezaji wa kuzuia faulo wanatakiwa waruke mpira usipite sababu kipa anakuwa hayupo upande ule.

Nikusaidie nini
 
Goli kama lile alilofungwa Manula hata makipa wa ukweli duniani huko wanafungwa sana tu, muhim mpigaji awe fundi wa kupiga set pieces. Zile nafasi alizopata Okrah na akafanya uchoyo wa kutoa pasi laiti zingepitia kwa Chama au Phiri bila shaka score board ingesoma tofauti.
 
Wewe bwege unakazia kuwa yanga sijui hatafika wapi,kwani simba kwa mpira ule ataenda wapi?,mlitamba sana kuwa mtaifunga yanga haya yapo wapi sasa,mikia fc
Amka usingizini Simba wapo groupe stage wameingiza 1.5b.
groupe stage wanaingia wanaume tupu wadada wapo shirikisho huko wengine punde watabaki home kulea watoto.
 
Simba twende na Mgunda, nae alambe asali hao wazungu hawana jipya
 
Wewe bwege unakazia kuwa yanga sijui hatafika wapi,kwani simba kwa mpira ule ataenda wapi?,mlitamba sana kuwa mtaifunga yanga haya yapo wapi sasa,mikia fc

Nyie hamjatamba. It is true hamtofika mbali na hamchezi shirikisho
 
Mkimpa mkataba tuu ndo ataboronga kabisa, ni kama mwanamke tuu kabla hujamuoa michecheto mingi , ukishamwingiza ndani tuu, anaanza na kunuka mdomo
Mambo hayaendi kimazoea hivyo

Upo uwezekano wa kujituma zaidi ili kuandika rekodi mpya ambayo hapo nyuma haikuwahi kutokea
 
Goli kama lile alilofungwa Manula hata makipa wa ukweli duniani huko wanafungwa sana tu, muhim mpigaji awe fundi wa kupiga set pieces. Zile nafasi alizopata Okrah na akafanya uchoyo wa kutoa pasi laiti zingepitia kwa Chama au Phiri bila shaka score board ingesoma tofauti.

Nakubali
 
Back
Top Bottom