Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Sijapenda hii sare, lakini Mgunda apewe mkataba haraka

Kumbe ilikuwa mwaka Gani? Fainali za Kigoma zilikuwa Julai 2021. Nyie mnakaririshwa mambo ya uongo na kuyabeba bila ya kufanya utafiti. Anayewaongopea ndiye alisema Yanga wenye akili ni baba yake na Kikwete.
Hizo takwimu wanazotumia hapo ni za Ligi kuu kiongozi siyo FA wala mapinduzi cup, ndiyo maana wanasema wao ni unbeaten mara 43 wakimaanisha kwenye Ligi kuu
 
Hizo takwimu wanazotumia hapo ni za Ligi kuu kiongozi siyo FA wala mapinduzi cup, ndiyo maana wanasema wao ni unbeaten mara 43 wakimaanisha kwenye Ligi kuu
Waseme kwenye Ligi Kuu siyo kufungwa na Simba. Jee kutofungwa na simba kumeizuia vipi Simba kutwaa ubingwa mara nne mfululizo? Yaani unamcheka mwenye Ghorofa kwa sifa ya kuwa na nyumba ya udongo iliyopakwa rangi!??
 
mara sita goli moja,mwenzio mara mbili goli moja nani kiazi?
nafikiri huelewi hata unacho jibu

mtu wa simba anasema alistahili kushinda mechi hii ndio nimemjibu yanga kafika golini mara 6 kwa mipira ya hatari nyau mara 2 vp anapo sema alistahili kushinda

ikiwa namba ya kushambulia kihatari jko chini wewe unacho jibu sijui hata ni nini
 
yanga kafika golini mara 6 nyau mara 2 (short on target ) alafu unajitapa ungeifunga yanga

unaifunga vp hukuwa na mipira ya hatari golini kwake
Umefika golini umefanya nini? Turudi pale pale unaweza ukazifanya shot on target zikawa magoli ila kama sio magoli ni upupu tuu mr Zipompa
 
Waseme kwenye Ligi Kuu siyo kufungwa na Simba. Jee kutofungwa na simba kumeizuia vipi Simba kutwaa ubingwa mara nne mfululizo? Yaani unamcheka mwenye Ghorofa kwa sifa ya kuwa na nyumba ya udongo iliyopakwa rangi!??
Umemaliza mkuu yani na mbwembwe zote tupo kileleni mwa ligi. Mwisho wa siku makombe tulichukua miaka 4 mfululizo.
 
Kwa mara ya mwisho kuwafunga Yanga ilikuwa mwaka gani? Mimi naamini sare ndiyo ushindi kwenu.
Usishangae sana fuatilia miaka ya 2000 mpaka 2010 hapo. Yanga wamewahi kukaa zaidi ya miaka 6 bila kumfunga Simba.
Man U hapa nyuma amekaa muda mrefu bila kumfunga Liverpool lakini sasa kaliwa kichwa.
 
Sitoshangaa Azam wakimchukua Mgunda kwani Yusuph Bakheresa yupo serious sana msimu huu japo timu ina muangusha.
 
nafikiri huelewi hata unacho jibu

mtu wa simba anasema alistahili kushinda mechi hii ndio nimemjibu yanga kafika golini mara 6 kwa mipira ya hatari nyau mara 2 vp anapo sema alistahili kushinda

ikiwa namba ya kushambulia kihatari jko chini wewe unacho jibu sijui hata ni nini
Utopwinyozzzz
JamiiForums-1742009958.gif
 
Wekeni statistics za Leo tujue Nani mbabe
 
Mo anavyopenda kuwakandamiza watu weusi sijui Kama atapata hata mshahara wa milioni 7
 
Simba waamini makocha wa nje kwani mgunda wa wapi?bila simba kumwamini mgunda ungeandika leo haya!
 
Kumbe ilikuwa mwaka Gani? Fainali za Kigoma zilikuwa Julai 2021. Nyie mnakaririshwa mambo ya uongo na kuyabeba bila ya kufanya utafiti. Anayewaongopea ndiye alisema Yanga wenye akili ni baba yake na Kikwete.
Mkuu embu jitahdi kuficha ujinga wako mbele ya kadamnasi... kwahio ile iliocheza mkwakwani kati ya Yanga na coast union mwaka jana 2021 ilikuwa ngao ya jamii au sio???
Hamkukosea kuitwa mbumbumbu... em jaribu kuwauliza mikia wenzio fainali iliochezwa kigoma ilikuwa mwaka gani
 
Mkuu embu jitahdi kuficha ujinga wako mbele ya kadamnasi... kwahio ile iliocheza mkwakwani kati ya Yanga na coast union mwaka jana 2021 ilikuwa ngao ya jamii au sio???
Hamkukosea kuitwa mbumbumbu... em jaribu kuwauliza mikia wenzio fainali iliochezwa kigoma ilikuwa mwaka gani
Usiandike vitu vya ajabu kwa ujasiri. Fainali ya Azam Confederation Cup kati ya Yanga na Coastal Union ilikuwa ni Tarehe 2/07/2022. Sasa hapo tafuta mjinga kati yangu mimi na wewe!!

Halafu usikariri sana maneno ya Manara maana yeye mwenyewe wakati mwingi huwa hajui anachosema.
 
Back
Top Bottom