Nilimsikia kuongozi wa biashara bwana Wabare akiongea kwenye kipindi cha sports extra akisema kuwa timu waliyocheza nayo sio timu ya kawaida,ina hostel,wachezaji wanakaa pamoja,ina kiwanja kizuri cha mazoezi,ina vifa vya kutosha vya mazoezi na ni timu kubwa.
Bwana mdogo Priva naompaka unajiuliza dhumuni lake
ni nn kupotosha hivo
Nilimsikia kuongozi wa biashara bwana Wabare akiongea kwenye kipindi cha sports extra akisema kuwa timu waliyocheza nayo sio timu ya kawaida,ina hostel,wachezaji wanakaa pamoja,ina kiwanja kizuri cha mazoezi,ina vifa vya kutosha vya mazoezi na ni timu kubwa.
Bwana mdogo Priva naona hapo kageuza maneno.