Sijapenda watu wanavyo-underrate Wamasai

Sijapenda watu wanavyo-underrate Wamasai

Kwani wakisemwa hivyo wamaasai wanakufa?wanameguka?wanapotea?km hapana basi ungetoa na heshima wanayo stahili kupewa basi.mambo mengine potezea hata km we ni maasai.
 
Hapa hapa Tanzania, wana mambo mengi ila si vizuri kutaja ni bora kuheshimu mila, wana majina kama fisi, chui, mkapa, nyerere n.k
Wana majina yao kama Mkapa, Nyerere n.k?

Hivi Mkapa ni watu wa wapi? Kwa hiyo hao akina Mkapa ni wakali sana au??
 
habari iliyotufikia kwa sasa
“ajali imetokea wamekufa watu wa tatu na masai mmoja”

hapa nilichoka [emoji23]
 
Minguo ya ndni inafuga fangasi ma joto kupeleke nyuchi kunuka sana hasa Dar, nyu hi zao zinanika, vikwapa navyo vinanuka.
Usasa hauna cha maana kusema ukweli.
Masai wana amani kuliko makabila mengi.
 
Minguo ya ndni inafuga fangasi ma joto kupeleke nyuchi kunuka sana hasa Dar, nyu hi zao zinanika, vikwapa navyo vinanuka.
Usasa hauna cha maana kusema ukweli.
Masai wana amani kuliko makabila mengi.
Jiheshimu, kijana mdogo sana wewe wa juzi tu. Una ushahidi wa wao kunuka nyuchi?????? [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Acha wamasai. Inaelkea mmasai ndio amekuzwana mzungu tu lakini utamaduni OG sio kweli kashika yeye ingawa Anajitahidi kudumisha.
ikokabila huku shamba nalima mimi mtu na dada zakwe wanaoga bwawa moja hakuna pichu, na kulala chumba kimoja wote anaekula puchi shauri yake.

mmoja alinipeleka kwake rini mita 200 hivi kabla kufika akaanza kuita jina la mkewe kwa sauti kubwa, nikamuulizaunafanya nini akasema anapiga hodi, huenda mkewe amepata mchepuko sasa anapiga hodi jamaa kama ytupo aweze ku " escape" akanimabia nyie ndio mnahangaika na hizi maku maku wao hwana story nazo kabisa wanajali mali.

Siku ya uchaguzi wa Magufuli nilimwambia kuna uchaguzi akaniambia wa nini n nani anachaguliwa nilishangaa sana , Kifupi wao ni maisha na mali na family yao basi mambo mengine hawana story nayo wanakutana nayo tu n.k
Aisee
 
Nawapenda wamasai jinsia ya kiume ni matam sana Yani kwenye mnyukano
 
Jiheshimu, kijana mdogo sana wewe wa juzi tu. Una ushahidi wa wao kunuka nyuchi?????? [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Pua yako inatosha, ingia kwenye daladala au pita kariakoo pale utahisi harufu za ajabu ajabu za fangasi walioozesha nyeti.
Masai ananuka samli, mjamja wa Dar ananuka miozo wa fangasi za miguu na kikwapa cha jasho la Dar.
Acha kudharau Masai.
Kama u abisha piga picha miguu, na nyeti zako uweke hapa.
Piga picha kikwapa chako hasa mida ya saa tisa unaporudi kazini.
Kama huna nilivyovisema basi mi najiondoa JF.
 
Back
Top Bottom