Sijasomea ujenzi, uhandisi wala sina uzoefu na ujenzi, nilazimishe mwenyewe kienyeji kusimamia ujenzi au nitafute mtaalam mzoefu wa kusimamia ujenzi ?

Sijasomea ujenzi, uhandisi wala sina uzoefu na ujenzi, nilazimishe mwenyewe kienyeji kusimamia ujenzi au nitafute mtaalam mzoefu wa kusimamia ujenzi ?

Kusimamia sio kusimamia mafundi hawapigi story...kwani kitu kizuri haujui...ramani kusoma haujui kuhesa je ..kaa chini na fundi tofauti waulize zege NI mifuko ningapi kawa kokoto kiasi gani na mchanga kiasi gani...Plata NI mfukonmingapi kwa mchanga kiasi gani...simamia vipimo...nondo..cemnt na nondo ndio vitu waibavyo zaidi...
 
Back
Top Bottom