Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 25
Samahanini japo kuwa hapa siyo mahali pake, matokeo ya mara ya kwanza nillipata zero yamesahihishwa upya na yametoka leo bado
nimepata zero ileile, siku nzima ya leo sijala asee siamini hata kidogo wakati mimi nilikuwa na akili, naombeni ushauri wenu mwenzenu nataka kujinyonga.
nimepata zero ileile, siku nzima ya leo sijala asee siamini hata kidogo wakati mimi nilikuwa na akili, naombeni ushauri wenu mwenzenu nataka kujinyonga.