Mdogo wangu Asango,kufeli mtihani haina maana hauna akili,bali inategemea na usahihishaji na mazingira uliyo somea.
Tafadhali,ondoa wazo la kujiua,
unaweza uka re sit na kufanya vizuri.
samahanini japo kuwa hapa siyo mahali
pake,matokeo ya mara ya kwanza nillipata zero
yamesahihishwa upya na yametoka leo bado
nimepata zero ileile,siku nzm ya leo sijala asee
siamini hata kidogo wkt mm nilikuwa na
akili,naombeni ushauri wenu mwenzenu nataka
kujinyonga
Samahanini japo kuwa hapa siyo mahali pake, matokeo ya mara ya kwanza nillipata zero yamesahihishwa upya na yametoka leo bado
nimepata zero ileile, siku nzima ya leo sijala asee siamini hata kidogo wakati mimi nilikuwa na akili, naombeni ushauri wenu mwenzenu nataka kujinyonga.
Samahanini japo kuwa hapa siyo mahali pake, matokeo ya mara ya kwanza nillipata zero yamesahihishwa upya na yametoka leo bado
nimepata zero ileile, siku nzima ya leo sijala asee siamini hata kidogo wakati mimi nilikuwa na akili, naombeni ushauri wenu mwenzenu nataka kujinyonga.