Sijatoka nje ya dar mwaka wa 12 huu,niende mkoa gani mzuri wenye hali ya hewa nzuri?

Ed edd n eddy

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2016
Posts
212
Reaction score
270
Habari zenu
Kama kichwa cha habari kinavojieleza,joto la dar limenichosha nahitaji kutoka hata kwa siku tatu nipumzike niende mkoa wowote wenye hali ya hewa nzuri..

Inshort mimi sio mtembezi sana maisha yangu yote yapo dar na zanzibar mikoani mara ya mwisho kwenda ni 2006 arusha.
 
ukuje stone twn wallah utainjoy

sent from home
 
Ukienda Juu Kusini kama una drive ukishamaliza kupanda mlima kitonga tu kama vioo vilifungwa vishushe hewaa saaafi like paradise...then unganisha moja kwa moja hadi Tukuyu, Kyela,Kitulo natural flower garden/plateau, Lake Ngosi ambalo ukigoogle hapo utaliona. Hotel classic na cheap zipo hotel ya 50/70 sawa na ya 150k arusha au Dar

Hutajuta trust me

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Tangu 2000-2001 sijawai kaa zaidi ya siku tatu nje ya Dar ila mwaka huu au mwakani Mungu akijalia nitaenda nyanda za juu kusini

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Vijana wa dar watasemaje hapo??

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaa.
Braza heshima yako sanaaa. Hali ya hewa ya Arush huwezi kuilinganisha na Dar es salaam bwana. There's just something special about Arusha, hivi unajua katika maamuzi ambayo namuunga mkono Raisi ni kuhamishia serikali Dodoma ? Daslam unaishi tu ufanye sasa....
 
Mkuu hilo jina lako limenikumbusha mbali sana[emoji23][emoji23]

"Utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
 
Mimi umri ukisogea sogea itanibidi nirudi huko huko kwenye chimbuko letu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…