Ed edd n eddy
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 212
- 270
Habari zenu
Kama kichwa cha habari kinavojieleza,joto la dar limenichosha nahitaji kutoka hata kwa siku tatu nipumzike niende mkoa wowote wenye hali ya hewa nzuri..
Inshort mimi sio mtembezi sana maisha yangu yote yapo dar na zanzibar mikoani mara ya mwisho kwenda ni 2006 arusha.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza,joto la dar limenichosha nahitaji kutoka hata kwa siku tatu nipumzike niende mkoa wowote wenye hali ya hewa nzuri..
Inshort mimi sio mtembezi sana maisha yangu yote yapo dar na zanzibar mikoani mara ya mwisho kwenda ni 2006 arusha.