Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu forester XT kwenye speed ya 120km/hr then njoo na feedbacks hapa. Note - hakikisha hiyo XT unatumia recommended oils.Lakini nimesema ukweli kabisa Mkuu, au uongo ndugu zangu?[emoji3] hii gari nilikuwaga Naitamani sana ila iko overrated
Criss lukosi anauza hizo discovery 4 kwa milioni 50 tu!Ila kibongo bongo ukiwa na hela unavuta tu chuma ambayo itakuoffer vtu vingi na kwenye kila barabara unapeta..
Unavuta zako disco 4 unatulia
Million 50 hapo uchumi wako sio haba chiefCriss lukosi anauza hizo discovery 4 kwa milioni 50 tu!
Ukweli kabisaWazee wa Mjapani hii itafika Bongo 2035View attachment 2514272
Hahahahahah utabaki na mshangao ukipishana nayo Tanzanite Bridge mwezi wa 8 mwaka 2023.Wazee wa Mjapani hii itafika Bongo 2035View attachment 2514272
Gari kubwa jinga hiiKwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.
Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.
Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:
1. Gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol..
2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..
3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.
4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)
5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.
NB: Matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.
Endelea kuzichukia wenzio twazipenda.Kiufupi ni kuwa sijawahi kuzipenda,ingawa zile old model wakati zinaingia nilikuwa nazipenda sana...
Usifanishe lc 300 na ujinga ,hapo labda maybach tukuna GLE AMG , kuna G-Wagon, kuna Range Rover Sport Svr, kuna Range vellar edition, kuna GLS650 maybach kadha wa kadha hapo bongo zinaikalisha hiyo Lc300 mchana kweupeee.... c.c 100 others
Unachekesha sana.Kwa wingi wa haya magari barabarani, jinsi watu wengi wanavyoyazungumzia na wengine wakiyataja Kama magari ya ndoto zao, nilikuwa Napata sana Shauku ya kuyaendesha, Ama kuyatumia Na ku feel ile Taste iliyomo ndani yake.
Juzi kuna Jamaa akaniletea Moja akiwa anaiuza.
Katika kuendesha hii gari nimegundua, yafuatayo:
1. Gari ni nyepesi sana unapofika speed kuanzia 120, inahitaji uwe makini sana kuicontrol..
2. Gari iko juu na inakosa balance kiasi kwamba kwenye kona kali ni msala mtupu kama ukiingia kichwa kichwa..
3. Haikupi comfortability nzuri ukilinganisha hata na Brevis...Yaani ukiwa kwenye Brevenga au Crown unasikia raha zaidi ya Harrier.
4. Ina fuel consumption kubwa tofauti na perfomance yake. (Yaani haina nguvu wala ubora mkubwa kulinganisha na utumiaji wake wa mafuta)
5. Bei Yake nadhani ilipanda kutokana na demand ya watu sababu ya kuigana ila ni gari ya kawaida sana....i would rather go for a cheaper Subaru forester XT than Harrier.
NB: Matamanio yangu kwenye Hii gari yameisha Rasmi na sijaandika uzi huu kuziponda, ila tu nilikuwa na over Expectations. ASALAM ALLEIKUM.