francis bakari
Senior Member
- Aug 1, 2017
- 136
- 66
*ni dalili za ushoga*
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo kwa mbele ama kwa nyuma. Kama mbele anaonyesha mashine, kama kwa nyuma, MH!Habari za mishe za mchana wadau.twende kwenye mada,hivi hawa mabraza men wanaovaa vile vijinsi vinavyobana ndo fasheni au vp.utakumkuta mtoto wa kiume kavaa kijinzi kinabana mnoo ndo nini vile.sorry kiswahili changu sio kizuri coz am busy now
Kwanza unakuwa smat.... Sio unavaa linguo kubwa unatembea af linabaki nyuma ndo nin sasa? Af Kama zinakuboa mwambie boy wako avae kubwa lkn wengin waendeleehSasa raha yake ni ile kubanwa au?
Ata wewe??Hawazitendei haki mbupu zao!
Hivi karne hii ni ya kupangiana vya kuvaa? Kwa Hiyo ni bora wanaovaa misuli tena bila boxer?
Fideliiz usije kuwa kama huyu aliyeruka miaka kadhaa. It's 2017, not 2001...lol
When your hommie gets out of prison that was locked up in 2001.
Sasa huo ndo uvaaji kwa wale wasojua...Kwan hapo imebana nini? Kwa mfano huo mwili navaaje libwanga la kunifwata nyuma labda ungesema specific kwa wale wanaum wanenn af wanavaa skin jenas ningekuelew kidogo![]()
Umeilewa hiyo dressing style mkuu? Ila ipo fresh aisee vinguo vinavyokuchukua mwili kama ulivyo, unakuwa smart sana ETSasa huo ndo uvaaji kwa wale wasojua...