Sijawaelewa wanaume wanaovaa nguo za kubana

Sijawaelewa wanaume wanaovaa nguo za kubana

Habari za mishe za mchana wadau.twende kwenye mada,hivi hawa mabraza men wanaovaa vile vijinsi vinavyobana ndo fasheni au vp.utakumkuta mtoto wa kiume kavaa kijinzi kinabana mnoo ndo nini vile.sorry kiswahili changu sio kizuri coz am busy now
Tatizo lipo kwa mbele ama kwa nyuma. Kama mbele anaonyesha mashine, kama kwa nyuma, MH!
 
Sasa raha yake ni ile kubanwa au?
Kwanza unakuwa smat.... Sio unavaa linguo kubwa unatembea af linabaki nyuma ndo nin sasa? Af Kama zinakuboa mwambie boy wako avae kubwa lkn wengin waendeleeh
 
Fideliiz usije kuwa kama huyu aliyeruka miaka kadhaa. It's 2017, not 2001...lol

When your hommie gets out of prison that was locked up in 2001.
 
7c303d38af7166d888e77d447e414dc6.jpg
Kwan hapo imebana nini? Kwa mfano huo mwili navaaje libwanga la kunifwata nyuma labda ungesema specific kwa wale wanaum wanenn af wanavaa skin jenas ningekuelew kidogo
 
Hivi karne hii ni ya kupangiana vya kuvaa? Kwa Hiyo ni bora wanaovaa misuli tena bila boxer?

Hahahahahhaaa wapi baba yooyooo, anatupia shuka tuu ila ukitaka kuchunguloa mashine unakutana sime kwenye ala yake hehehee wajanjaa. Na HamiiJeeii nae akienda forodhani kula urojo ataka kupunga hewaa chanuuu wapi msuli anaukwida kiunoni vizuri na haudondoki hata umkimbize. Ila kama ndani wanavaaga kifuniko au hawavai hapo ndo sijui hehehehehehhe
 
Fideliiz usije kuwa kama huyu aliyeruka miaka kadhaa. It's 2017, not 2001...lol

When your hommie gets out of prison that was locked up in 2001.


Ngoja nimuite USA baby aje kutafsiri heheheheheheee

Monkeeeeyyy Nyani Ngabu
 
7c303d38af7166d888e77d447e414dc6.jpg
Kwan hapo imebana nini? Kwa mfano huo mwili navaaje libwanga la kunifwata nyuma labda ungesema specific kwa wale wanaum wanenn af wanavaa skin jenas ningekuelew kidogo
Sasa huo ndo uvaaji kwa wale wasojua...
 
Back
Top Bottom