Sijawah kufanya biashara na nina mil 1.2 nifanye biashara gani ..??

Nunua chupa kubwa za chai, uza uji wa ulezi sehemu zenye mikusanyiko yawatu wengi kama vituo vya daladala n.k. Uza asubuhi na jioni soon utakuwa kama Bakhresa.

Kuwa serioz mkuu milioni 1na laki 2 nikafanye biashra ya uji haa..!!ndo ushaur gni huo!
 

Shukrani kwa Chasha vijana wame elewa somo lako.
 
Last edited by a moderator:
why not,si unaboresha,unauzia kwenye disposable papercup,unaupa quality nzuri,blueband,milk etc,each cup tsh 500.

Nieleze vizur mkuu nimevutiwa na maelezo yako..!
 
Ni wazo tu lilikuja ghafla,hizo cup majuu ndo wanauzia kahawa na inakua na mfuniko kama unavyoona.
Porridge linatakiwa liwe na guality kwani hapa target yako ni wale wa maofisini mida ya kifungua kinywa ama kuanzia asubuhi .porridge linawekwa kwenye hizo vikombe na kupakiwa kwenye box mbili tatu.
Utafute binti salesgirl mwenye mvuto na ushawishi wa kibiashara kwa maana ya anaejua kuongea,yeye ndo atapita maofisini kuchukua order na kudeliver kama per day atauza vikombe 100 minimum hapo una 50,000.
Mtaji wa kuanzia haufiki hata 200,000.
Hakikisha kwanza unaanza na promo kwa kutoa free kwenye sehemu ambazo unajua ukiwashika utakua na soko la uhakika daily.
Huyo salesgirl wako umlipe vizuri na awe presentable.
 
kiongozi Elungata
kwanza nashukuru kwa aidea nzuri ,inaonesha ktk wazo unalopewa we jamaa huwa unatarget mara 2 mbele
hiyo huduma nimeikubali sana
nami nikipata mtaji lazima nijaribu
ishu ni hozo package hapa bongo sijui kama zinapatikana
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…