Nunua chupa kubwa za chai, uza uji wa ulezi sehemu zenye mikusanyiko yawatu wengi kama vituo vya daladala n.k. Uza asubuhi na jioni soon utakuwa kama Bakhresa.
Kuwa serioz mkuu milioni 1na laki 2 nikafanye biashra ya uji haa..!!ndo ushaur gni huo!
kiuhalisia kusema ufanye aina gani ya biashara ni ngumu ila naweza kukupa mawazo halafu uangalie mwenyewe,pata
wazo la biashara kwa kuangalia eneo ulilopo mfano labda nyumbani unapoishi angalia ni kitu gani kinakosekana
hapo mtaani kwenu na hicho kitu kinahitajiwa sana na wengi na wakati mwingine hulazimika kukifata mbali,ukipata
hicho kitu hiyo ndo biashara yako na hakika utapiga hela sana mpaka wengine waje wakuige wewe utakuwa mbali
sana. Pia unaweza angalia mazingira mengine mfano mahali unapotumia muda mwingi kukaa angalia hilo eneo lina
uhitaji gani,eneo lolote tu lichunguze lina uhitaji gani ukitumia hiyo fursa vizuri umetoka.Usijali hata kama
hiyo biashara unaona si hadhi yako wewe fanya usione aibu hapo ndo mafanikio yako.
Pia unaweza angalia ujuzi gani ulionao,huo ujuzi ugeuze uwe biashara wekeza hapo utaona matunda yake.
why not,si unaboresha,unauzia kwenye disposable papercup,unaupa quality nzuri,blueband,milk etc,each cup tsh 500.Kuwa serioz mkuu milioni 1na laki 2 nikafanye biashra ya uji haa..!!ndo ushaur gni huo!