Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
Salaam,
Kiukweli tangu nianze kula ndizi zilizokaangwa sijawahi kuona ladha yake.
Je, huenda ninapokula ndo hawajui kuandaa ndizi za kukaanga au mdomo wangu na ulimu ndo umegoma kuhisi ladha ya ndizi.
Wataalamu nisaidie namna ya kuhisi ladha ya ndizi za kukaanga au namna ya kuziandaa ziwe na ladha.
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Kiukweli tangu nianze kula ndizi zilizokaangwa sijawahi kuona ladha yake.
Je, huenda ninapokula ndo hawajui kuandaa ndizi za kukaanga au mdomo wangu na ulimu ndo umegoma kuhisi ladha ya ndizi.
Wataalamu nisaidie namna ya kuhisi ladha ya ndizi za kukaanga au namna ya kuziandaa ziwe na ladha.
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app