Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
- Thread starter
- #21
Mkuu tunakula tu basiSasa mkuu kama hupati ladha yake, iweje uwe na shauku ya kuendelea kuzila...
Mzuzu unaweza ukachomwa, ukakaangwa, ukachemshwa, ukakaushwa na wengine huupika kama ndizi nyama mchuzi...
Jaribu hizo njia nyingine
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app