Mkuu tunakula tu basiSasa mkuu kama hupati ladha yake, iweje uwe na shauku ya kuendelea kuzila...
Mzuzu unaweza ukachomwa, ukakaangwa, ukachemshwa, ukakaushwa na wengine huupika kama ndizi nyama mchuzi...
Jaribu hizo njia nyingine
Nitajaribu hiiNdizi mzuzu zilizoiva ni tamu tu ukikaanga...na kama hazijaiva basi kaanga ukiwa umezipaka chumvi
Me najuaga ndizi mbichi ndo hukaangwa kumbe had zilizo hivaPole sana, yan me nlikuwa kama ww nlikuwa spend ndz kwa jns yoy(e)ote ile. Wakipka ndz bas me nakula viaz ama magimbi lkn ndz sgus.
Nkaenda kwa shangaz jaman kila sku n ndz uwiii, n kiburu, kitawa, ng'ande, machalari , mtori, ndz za kukaanga mzuzu au mkono wa tembo. Yan vnabadlishwa kihivyo hahahaha, nkajikuta napenda ndz kwa moyo wote na nkajikuta naona nmechelewa kula ndz.
Lkn sjawah penda ndz zlizoiva za kukaanga, napenda ziwe na hali ya ubch ndo zkaangwe.
Me najuaga ndizi mbichi ndo hukaangwa kumbe had zilizo hiva
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app