Mkuu nipo makin sana, nahitaji mwanamke mwenye upendo wa dhati anaejua shida na raha, asiye piga mizinga huyu ndie nitampenda kwa moyo wa dhati kabisa.
Unamaanisha nini mkuu?
Zilipita kushoto.
Haha dah! Kama Ticha ndiyo umepinda hivi, wanangu hawatasoma tena Bongo. Heaven Sent, we will not have this discussion again. Si unaona walimu wetu?
Practice makes perfect
cc Paulo Sergio De Souz
Mi mgeni hapa mjini..Ndo kwanza nina week moja..Embu nifahamishe
Kwanin mkuu?
Mi mgeni hapa mjini..Ndo kwanza nina week moja..Embu nifahamishe