Tony-stark
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 1,020
- 1,334
Inavyoonyesha ulishajiunga kwenye kile chama chetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajielewi, ukiona mtu anatumia neno teyari badala ya tayari basi jua kuna shida kuuUkijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
https://www.jamiiforums.com/threads/nampenda-huyu-dada-lakini-anampenda-rafiki-yangu.1621031/
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-anayekupenda-hakuchuni.1627893/
Ukijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
https://www.jamiiforums.com/threads/nampenda-huyu-dada-lakini-anampenda-rafiki-yangu.1621031/
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-anayekupenda-hakuchuni.1627893/
Sijaona uwongo wa posti hi nimerejea hizo postUkijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
Nampenda huyu dada lakini anampenda rafiki yangu
Mwanamke anayekupenda hakuchuni
Jamaa ni muongo kama ccmUkijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
Nampenda huyu dada lakini anampenda rafiki yangu
Mwanamke anayekupenda hakuchuni
Future impossible Tense 😅😅😅Hahahaha dah
Hahahahah hio spirit we mwenyewe tu tukikaa chumba kimoja usiku mzima itakushinda tu 😅😅😅Hongera sana kwa hilo na uendelee na sprt hyo ulyokuwa nay.
fanya utakavyo hucfanye watakavyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa iyo una handle vip matamanio? I mean hauna kadi ya kile chama kweli?