Tony-stark
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 1,020
- 1,334
Hajielewi, ukiona mtu anatumia neno teyari badala ya tayari basi jua kuna shida kuuUkijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
https://www.jamiiforums.com/threads/nampenda-huyu-dada-lakini-anampenda-rafiki-yangu.1621031/
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-anayekupenda-hakuchuni.1627893/
Ukijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
https://www.jamiiforums.com/threads/nampenda-huyu-dada-lakini-anampenda-rafiki-yangu.1621031/
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanamke-anayekupenda-hakuchuni.1627893/
Sijaona uwongo wa posti hi nimerejea hizo postUkijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
Nampenda huyu dada lakini anampenda rafiki yangu
Mwanamke anayekupenda hakuchuni
Jamaa ni muongo kama ccmUkijisikia kusema maneno ambayo sio ya kweli uwe na kumbukumbu:
Nampenda huyu dada lakini anampenda rafiki yangu
Mwanamke anayekupenda hakuchuni
Future impossible Tense π π πHahahaha dah
Hahahahah hio spirit we mwenyewe tu tukikaa chumba kimoja usiku mzima itakushinda tu π π πHongera sana kwa hilo na uendelee na sprt hyo ulyokuwa nay.
fanya utakavyo hucfanye watakavyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa iyo una handle vip matamanio? I mean hauna kadi ya kile chama kweli?