Sijawahi kufika kileleni

Sijawahi kufika kileleni

Tuliza akili yako na jaribu kukubali kile ulichonacho kwa muda ule naimani utafika tu kwenye hicho kilele. Lakini ukianza kutoa mtu kasoro mapema, hata akufanye kutwa kucha hutoweza kufikishwa. Na pia hisia ni muhuimu sana na kuelezeana nini unataka au kupenda kufanyiwa na mwenzio, kama wewe mwenyewe hujui nini unapenda au kutaka mwenzio hawezi ota na kukufanyia.
 
Hisia huanza na wewe kwanza. Jaribu kuwa na hisia itakuwa rahisi kwa mwenzio kukusaidia na kukufikisha. Na pia mueleze nini unapenda kufanyiwa, wapi, na muda gani. Inawezekana ni mtu wa kuzubaa tu na kuwa na imani ya kufanyiwa yote upendayo bila kutoa ushirikiano wowote. Mapenzi ni hisia.
 
Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

Kama hujawahi kufikishwa, umejuaje hujawahi kufikishwa?
 
Jenu jiandae kisaikolojia kupokea majibu ya busara, hekima, na dhihaka. Mtu asiyekuwa na tatizo km hilo lako ataona ni jambo la kawaida tu. Kufika kileleni kuna rha yake kwa mwanaume na mwanamke.
 
Last edited by a moderator:
Jana nilieka post hapa jamii forum kuhusu hilo tatizo lakini nashangaa ikatolewa....Okay na mie nasubiri kutolewa. My post ilikua hivi:

Kwa uzoefu wangu kama daktari kuna wanawake wamepata kuniambia hawajawahi kufika kileleni wakiwa na wapenzi wao mbali wakiwa pekee yao na kwa kubana mapaja yao tight tu (cross their thighs and legs)
Nikaomba maoni.

Napatikana Instagram @ daktari_sundae.
 
Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

Hata mm nina tatizo hilo! nasikia tu kama kuna kufika kileleni tangu nianze haya mambo cjawahi kufika! sasa sijui tatizo ni nini, ukipata msaada nijuze nami
 
Jenu Umejuaje kama kuna Kilele kama hujawahi fika???
Utamu unao usikia mama ndio huo huo amna mwingine, Labda uniPM kwa maelezo zaid.
 
Mmmh pole mwaya jaribu kuvuta hisia utafka mwaya na siku ukifka utaona jinsi gani dyudyu lilivyo tamu.
 
Nisaidieni wana jf, Mimi ni mwanamke namiaka 35 ,nimeshakuwa na mausiano mengi tu, lakini hakuna hata mmoja aliyewahi kunifikisha,mpaka naanza kukata tamaa ya kuwa na mpenzi wa jinsia ya kiume,nisaidieni nifanyeje? Maana naona naelekea kubaya

Pole sana,hakuna raha yoyote ya mapenzi kama hujafika kileleni! Sasa umempata mwingine wa kukufikisha au bado?
 
Hahahahaaaa pole xna lkn jarib kuvuta hisia wakat wa mavituz lkn maandaliz n muhim xna ukishindwa mweleze mwenz wako mahal penye hisia ucache ahangaike mwenyewe kuztafuta
 
Back
Top Bottom