EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #21
Bado yupo shule akikua ataachaBado hujakamata hela,ukizikamata maji ya jirani utaona yana sumu au uchawi,kula muwa njiani utaona ni muujiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado yupo shule akikua ataachaBado hujakamata hela,ukizikamata maji ya jirani utaona yana sumu au uchawi,kula muwa njiani utaona ni muujiza
Basi unakwama sana.Keki ya taifa unaila kificho sana.Lyaga duu mwanamayo!😝😝😝😝Mkuu umetisha sana,
mi hufanya hayo nikiwa kihomehome na nguo zangu za garage
Haya mkuu. Its your time anjoye while it lastBasi unakwama sana.Keki ya taifa unaila kificho sana.Lyaga duu mwanamayo!😝😝😝😝
Utoto rahaBado yupo shule akikua ataacha
Hela za kuishi na kutibu changamoto za upumuaji zipo sana.Ndivyo nilivyoBado hujakamata hela,ukizikamata maji ya jirani utaona yana sumu au uchawi,kula muwa njiani utaona ni muujiza
Saaaaana aiseeUtoto raha
Laiti tungeonana nadhani ungeshangaa na kuniita baba mkwe.Kwa nini haupendi mtu kuwa alivyo tu?Utoto raha
Mwandiko wako tu unaonyesha hujakua badoLaiti tungeonana nadhani ungeshangaa na kuniita baba mkwe.Kwa nini haupendi mtu kuwa alivyo tu?
Mimi ni nani nikukatalie wakati umeandika weye?Mwandiko wako tu unaonyesha hujakua bado
wakati mwingine hata haiko karibu tunafata tu siunajua watoto wa pori [emoji2][emoji2] ilimradi vurugu mkianza oya masela twenzetuni hapo hajulikani wasichana wala wavulana ... Walimu wa Msingi bwana wanastahili mshahara mkubwa mno mana akili zetu tukiwa watoto tunazijuaga wenyewe..Miwa ya karibu na shule ilipata tabu sana.
Kisu kitoke wapi shuleni
Acha kabisa yule mzee hadi aliweka walinzi ila tunaenda ,maana shamba lilikuwa kubwa na mlinzi mmoja tunamvizia upande ambao hayupo tunavunjawakati mwingine hata haiko karibu tunafata tu siunajua watoto wa pori [emoji2][emoji2] ilimradi vurugu mkianza oya masela twenzetuni hapo hajulikani wasichana wala wavulana ... Walimu wa Msingi bwana wanastahili mshahara mkubwa mno mana akili zetu tukiwa watoto tunazijuaga wenyewe..
Labda ufanye hivyoUkipanda miwa karibu na shule hakikisha unapanda na mbegu za specie mbali mbali za upupu
Sisi tuliwekewa mpaka vya kurogwa ila wapi sijui ndo mana hatufanikiwi[emoji2][emoji2]Acha kabisa yule mzee hadi aliweka walinzi ila tunaenda ,maana shamba lilikuwa kubwa na mlinzi mmoja tunamvizia upande ambao hayupo tunavunja