Sijawahi kujihusisha na uchawi, Je! naweza kulogeka?

You need to learn about incarnation.

It is like when Allah called himself a king, what does it mean? Is Allah no longer a deity?
 

Muhammad practiced witchcraft

According to Muhammad's own definition of witchcraft, Muhammad was himself guilty of practicing that demonic art. Muhammad defines witchcraft as follows:


Qur'an 113.003 "From the mischievous evil of Darkness as it becomes intensely dark, and from the mischief of those who practice the evil of malignant witchcraft and blowing on knots, and from the mischievous evil of the envier when he covets."

And the Hadith records that Muhammad did these very things:

Bukhari:V7B71N643 "I heard the Prophet saying, ‘If anyone sees something he dislikes, he should blow three times on his left side and its evil will not harm him.'"

Bukhari:V6B61N535"Whenever the Prophet became ill he used to blow his breath over his body hoping for its blessing." Bukhari:V6B61N536"When the Prophet went to bed he would cup his hands together and blow over them reciting surahs. He would then rub his hands over whatever parts of his body he could reach, starting with his head, face and frontal areas."

Exactly why Muhammad thinks he will be able to beat evil with what he called evil is beyond me. But I would not deny that Muhammad here confesses that he practices witchcraft since the implicit confession is obvious to all without an obvious bias.
 
Hizi ni hadithi tu,japo pia siamini mambo ya uchawi.haingii akilini cain apewe kinga eti watu wasimdhuru wakati dunia nzima kwa mjibu wa bibilia ilikua na watu watatu tu,mamayake cain(yaani eve),babake(adam) na yeye cain.
sasa nani angeweza kumdhuru?
 
Taja jina lako la ukweli jina lako jina la mama yako jina la baba yako na jina la ukoo wako humu ...
kisha katembee na mke wa mtu. Kisha uone jinsi Uchawi utakavyo kupata .

Precisely. Kanuni za asili zinataka uwe na nidhamu kimaisha........

Ikiwa uchawi unafanya kazi, fanya uyajue majina ya mtu unaetaka kumloga bila kuulizia popote/yeyote!!
 
Hizi ni hadithi tu,japo pia siamini mambo ya uchawi.haingii akilini cain apewe kinga eti watu wasimdhuru wakati dunia nzima kwa mjibu wa bibilia ilikua na watu watatu tu,mamayake cain(yaani eve),babake(adam) na yeye cain.
sasa nani angeweza kumdhuru?

Kiuhalisia, hiyo hadithi ya kina Adamu si kweli
 
mi mwenyewe nilikuwa siamini uchawi hata kidogo, ila sasa naamini upo na wala haijalishi umechokoza au hapana. mchawi katawaliwa na wivu ukimzidi (kiuchumi, elimu, uzuri, n.k) tu ni kosa lazima akuchezee cheketu cheketu.
 
Precisely. Kanuni za asili zinataka uwe na nidhamu kimaisha........

Ikiwa uchawi unafanya kazi, fanya uyajue majina ya mtu unaetaka kumloga bila kuulizia popote/yeyote!!

Kweli mkuu, mbona Yesu wakati anawachagua mitume aliwaita kwa majina wamfuate, kama na wachawi wanaweza basi wajitwaalie nina wanakoweza bila kuuliza la sivyo ni ukanjanja tu!
 
Unaweza kurogeka,nyota yako inaonyesha upo katika hatari kubwa sana,ni vyema ukachukua tafadhari,kwa msaada zaidi ni PM
 

Amen.........
 

Hapo ndio ujue hizi dini zinatuchanganya, na kibaya zaidi eti kinga hiyo alipewa na Mungu ati watu wabaya wasimdhuru kina nani? Kiranga.
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndio ujue hizi dini zinatuchanganya, na kibaya zaidi eti kinga hiyo alipewa na Mungu ati watu wabaya wasimdhuru kina nani? Kiranga.

Ikiwa shetani yupo na kapewa kinga na mungu, basi huyo mungu ni mbaya kuliko shetani.

Kwa sababu yeye ndiye anayemuwekea kinga shetani afanye anachotaka.

Tukimlaumu shetani, tumlaumu zaidi mungu.

Hapo ndipo unapoona habari za kuwepo kwa mungu na shetani ni habari za uongo tu.
 
Last edited by a moderator:

Umeeleweka vyema ingawa kuna watu humu ni wafia dini balaa ukiwaeleza kwa uwazi kama hivi wanakuletea hadithi za google ambazo zimewekwa na hao hao makanjanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…