Sijawahi kujihusisha na uchawi, Je! naweza kulogeka?

Umetoa maelezo marefu kama gazet la siasa lakin sijaona point...Mtoto mdogo asieujua uchawi hawezi kuwa na hofu ya kulogwa lakin mbona wanalogwa
 
haukusikia wale walimu wakike shinyanga kila wanapoamka asubuhi wanakuta mbegu za kiume ukeni
 
Mtume wa mungu alilogwa wewe nani usilogwe?
wakiamua tu wanakujia kukuroga we omba tu yasikukute
 
Umetoa maelezo marefu kama gazet la siasa lakin sijaona point...Mtoto mdogo asieujua uchawi hawezi kuwa na hofu ya kulogwa lakin mbona wanalogwa
Ndio analogeka kupitia udhaifu wa nafsi ya wazazi wake Kwa hio wazazi ndo huwa connection km ujuavo uchawi hauwezipita Kwa MTU lazima kuwe na connection ya imani ya kurogeka.Ndo maana nilikupa mfano wachawi wangekuwa na nguvu ya kuroga wasioamini wangeweza kuwaroga wakoloni wakadhurulika lakini hawakurogeka sababu uchawi aupiti Kwa asiyeuamini,we unalogeka sababu tayari unahofu ambayo misingi yake ilipandikizwa kwako kupitia mazingira uliyokulia au unayoishi,sababu uchawi ustawi zaid penye ufinyu mdogo wa elimu na hofu
 
Sio kweli watu wakiamua kukushughulikia wanakushughulikia vyema tu hayo mambo ya hofu ukiona hivyo we ushajikinga kwa njia nyingine
 
Me naelewa nguvu za asili zifanyavyo Kazi wala sihitaji mganga au mchungaji.Kinga kubwa ya wachawi ni kusimama binafsi kiimani,nasema hivo sababu tumerogwa tangu hatujazaliwa na tunaendelea kulogwa na mambo yanaenda vizuri tu kielimu,kiuchumi karibia kila kitu,sababu siamini katika nguvu hasi. Ungekuwa unauelewa kuhusu power of nature tungeweza elewana.Uwezilogeka hadi kuwe na chanzo au connection ya nguvu hasi yaani uchawi uweze kupenya kwenye mfumo wako yaani kuhurusu.
 
Dawa huwa inapambana na dawa nyenzake. Kama huna dawa yoyote, hutendi dhambi, unaenda Kanisani kwa kumaanisha na kwa moyo wa dhati kabisa, unampenda Mungu (watu), hakipo kitu kinachoweza kukudhuru kutokana na uchawi. Wewe kupata madhara inabidi mpaka Mungu aridhie, hawezi kuridhia kama wewe una sifa hizo. Kitachotokea ni kwamba wewe ndiyo utakuwa unaonekana mchawi zaidi kwa hao wanojaribu kufanya ujinga wao kwako.

The fact is, mchawi anatumia TEKINIKI zile zile ambazo Mungu huwa anatumia katika kuwasaidia watu wake, isipokuwa Sheteni yeye alishaongeza uharibifu katika mbinu hizo. Kumbuka shetani alikuwa malaika mkuu mbinguni, hivyo ana ufahamu mkubwa (knowledge) inayotokana na Mungu isipokuwa yeye sasa aliamua kuongeza uharibifu katika ufahamu huo. Ni kama kwa mfano, umfundishe mtoto wako kupika ugali kwa ajili ya watu nyumbani, halafu akakuasi akawa akipika huo ugali, anachangaya sumu kwenye unga. Hicho ndicho hasa shetani anafanya. Anatumia knowledge ya Mungu hiyo hiyo aliyoipata wakati akiwa malaika mkuu, kwa ajili ya kutenda uharibifu.

Ukiwa ndani ya Yesu, kwanza: mwili wako unakuwa ni hekalu la Kristo, pili: unakuwa kiungo katika mwili wa Kristo (maana yake ni kwamba mchawi kukushambulia wewe anashambulia kiungo cha mwili wa Kristo, aliyemuumba,......, kesi mbaya kuliko hata pre-meditated self murder), tatu: wewe unakuwa mzaliwa wa pili baada ya Kristo (Yaani Yesu anakuwa ni kaka yako aliyezaliwa kwanza halafu wewe ukafuata baada ya yeye kuwa amezaliwa-Soma the Doctrine of Adoption). Sasa katika hali hii, tulia uache wakuchokonoe halafu UONE WATANAVYOPIGWA! Yaani ni uhakika wala siyo stori!

Kama uko hivi kweli kama unavyosema, ningekushaui uwe mlokole, mimi ni mlokole, na inaonyesha tumefanana sana. Wakati bado sijaokoka, kuna mtu alikuja nyumbani kwangu akasema maneno haya huwa siyasahau "HALAFU WEWE KAMA UKIOKOKA"! Baada ya kuokoka Roho Mtakatifu akaja akanishuhudia kuwa huyu mtu amekuwa akinitafuta miaka mingi nyuma pamoja na wenzake wengi tu lakini hawakuweza. Kilichokuwa kinawashangaza ni kwamba kwa nini wanshindwa wakati kwa waganga wa kienyeji sijawahi kukanyaga mguu, sina dawa yoyote na kanisani kipindi hicho ilikuwa ni kwa mama mkwe! Una chance nzuri sana ya kuwa na mahusiano na Mungu ambayo ni watu wachache sana duniani wanabahatika kuwa nayo. Wewe ukimtafuta kwa mfano, Mwalimu Mwakasege anaweza akakusaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…